Kazeeka ndo anakuja huku shimoni
Kweli Mkuu.Unasema kweli unatania?
Sawa.waulize wakazi wa kipawa waliiona hiyo ndeg wakat inakuja
heri huyu kashukia jkn air port wale wanaoshukia na wanasepa kimya kimyaUnasema kweli unatania?
Tanzania bado inaushamba mkubwa kibiashara ukilinganisha Kenya!Habari wana JF, nimeona picha instagram David Beckham yupo na watoto wake uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere.
Hapa ndiyo serikali yetu upande wa utalii inapofail, ingekua wenzetu Kenya mtu kama Beckham wangetangaza ujio wake kwa kiasi kikubwa.
Mwenye taarifa yoyote kuhusu ujio wake anaeza akatoa maelezo.
Wenzetu wanatuzidi ni wajanja sana, wanajua kucheza na fursa.Tanzania bado inaushamba mkubwa kibiashara ukilinganisha Kenya!
Kama kaja kutalii tu haina haja ya kumtangaza, acha ainjoi privacy na familia yake. Angekuja kwa madhumuni mengina kama vile kupromoti soka au ziara ya kikazi angetangazwa. kama kaja kimyakimya wacha akae kimyakimya na ataondoka kimyakimya. kwanza ni mtu wa kawaida tu, kuna wabongo wengi tu hawamjui wala hawajawahi sikia jina hili.
Ok mkuu nimekuelewaLakini bado ni celebrity mkubwa sana na mambo yakimwendea vizuri atakuwa owner wa timu USA muda si mrefu ujao.
Ndio maana kuna Google. Kutowahi kwako kulisikia jina la Beckham hakumfanyi Beckham kuwa mtu wa "kawaida."
Kuna watu wengi hawawafahamu Einstein na Newton. Hata mimi siwafahamu ila naelewa sio watu wa "kawaida."
Mimi nilivyoisoma comment yake imebidi nicheke tu na kukaa kimya.Ndio maana kuna Google. Kutowahi kwako kulisikia jina la Beckham hakumfanyi Beckham kuwa mtu wa "kawaida."
Kuna watu wengi hawawafahamu Einstein na Newton. Hata mimi siwafahamu ila naelewa sio watu wa "kawaida."
Lakini si katua!!!Najua kashangaa kauwanja ketu