Wakuu mdogo wangu kachaguliwa hizo DEGREE program Nursing ni Udom na Bugando na Lab technology ni KCMC anataman kujua asome hipi na kwanini...
Ufahulu wake alikuwa na Division 1:9
Phy D, Chemi B, Bios C BAM D
Base ikiwa ni....
1. Soko la ajira
2. Kujiajiri
3. Competence base
Na je kwa ufahulu huo anaweza badili kwenda MD au Pharmacy
Karibuni kwa msaadaa
Ufahulu wake alikuwa na Division 1:9
Phy D, Chemi B, Bios C BAM D
Base ikiwa ni....
1. Soko la ajira
2. Kujiajiri
3. Competence base
Na je kwa ufahulu huo anaweza badili kwenda MD au Pharmacy
Karibuni kwa msaadaa