Ndio anaweza bila shida. Cha msingi awe na GPA inayo mruhusu kusoma degree.Wakuu poleni kwa majukumu bila shaka mnaendelea na majukumu ya kila siku.
Kuna mdogo wangu ana Diploma ya information technology (IT).
Naomba kuuliza kama kwa diploma hyo anaweza soma bachelor of science in health information system.
Natanguliza shukurani.
Anaruhusiwa akiwa na kuanzia na GPA ya 3.0Wakuu poleni kwa majukumu bila shaka mnaendelea na majukumu ya kila siku.
Kuna mdogo wangu ana Diploma ya information technology (IT).
Naomba kuuliza kama kwa diploma hyo anaweza soma bachelor of science in health information system.
Natanguliza shukurani.