6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,493
- 2,861
Mkuu ulisoma hii course? Na je chuo cha open kinatambulika vizuri nchi nyingine...?Kama unaitaji kwenda open University pako vizur kwa ushauri wangu na kwa kozi Kama yako hua wanafundisha online and distance mode pamoja na face to face so Kuna mda utaingia daraeani wapo vizur ila wanna center nyingi wew jiunge kwenye center kubwa Kama ya kinondoni pale vitabu vipo kila kitu na utasoma