mhshemdoe
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 363
- 531
Habari JF,
Matokeo yake ya kidato cha sita ni haya
-Economics 'C'
-Geography 'D'
-A/Maths 'E'
Katika kuangaliaangalia kozi mbalimbali nimekutana na kozi tajwa hapo juu na moja wapo ya vyuo vinavyotoa hizo kozi ni Moshi Coperative University(MoCu).
Ningependa kujua kozi ipi ni nzuri haswa kwa upande wa ajira na pia kujiajiri. Pia ubora wa chuo(MoCu) katika hizo kozi, pia kama hiko chuo sio sahihi ningependa kuomba mapendekezo ya vyuo bora kwa hizo kozi.
Pia kama kuna kozi nzuri ambazo anaweza akafit kwa masomo aliyo soma na ufaulu aliopata nakaribisha ushauri.
Matokeo yake ya kidato cha sita ni haya
-Economics 'C'
-Geography 'D'
-A/Maths 'E'
Katika kuangaliaangalia kozi mbalimbali nimekutana na kozi tajwa hapo juu na moja wapo ya vyuo vinavyotoa hizo kozi ni Moshi Coperative University(MoCu).
Ningependa kujua kozi ipi ni nzuri haswa kwa upande wa ajira na pia kujiajiri. Pia ubora wa chuo(MoCu) katika hizo kozi, pia kama hiko chuo sio sahihi ningependa kuomba mapendekezo ya vyuo bora kwa hizo kozi.
Pia kama kuna kozi nzuri ambazo anaweza akafit kwa masomo aliyo soma na ufaulu aliopata nakaribisha ushauri.