Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,603
Anajua mtamnanga maana hamna dogoInamaana hujui gari yako ni aina gani kati ya hizo mbili? Pumbavu
Anajua mtamnanga maana hamna dogoInamaana hujui gari yako ni aina gani kati ya hizo mbili? Pumbavu
Kwann ukiwa unahitaji msaada usiseme aina ya gari yako ili kama ushauri wakimawazo upewe direct inawezkana mtu ana passo kama yako na ashawahi kupata ttzo akakwambia,,Toyota wametoa gari jipya IST/PASSO?
Aiseeh hii kali!! Ist/passo si zipo nyingi sana mjini sasa atajuajeNamiliki mojawapo mkuu.
Nimeweka hivo kupunguza exposure of my identity.
Kuna manzi humu nishaga zinguana nae, akawa ananisaka.
Mlolongo, mbona unaona aibu kutaja aina ya gari yako? Hivi ungekuwa na BMW au Mercedes Benz, ungeona aibu hii uinayo sasa?Babywoka yangu (IST/Passo)
Tatizo la kwanza limeanza juzi:
Nimerudi jioni home, nikapaki nikaingia ndani. Usiku nikawasha gari nilisogeze getini nikashangaa 'Parking' gear haioneshi kwenye dashboard.
Yaani 'Parking' haionekani kwenye dashboard ingawa gear ipo kwenye Parking. Gear zingine zote zinaonekana. Nikizungusha funguo niwashe (ignition) haiwaki, mpaka nipeleke kwenye 'Neutral' ndio inawaka.
Tatizo la Pili (Limeanza Leo):
Nalo linahusiana na Mambo ya gear, sema ni wakati naendesha (nipo kwenye mwendo).
Kuna muda nikiwa naendesha (nipo kwenye D) nikakanyaga mafuta kuongeza mwendo zaidi gari inapiga kelele za Race gyyyyyyym.
Ni ile sauti ya ukikanyaga mafuta gari ikiwa kwenye parking. Sasa mimi naisikia nikiwa kwenye mwendo.
Hii imenitokea mara mbili, na inapotokea inabidi niachie mafuta kisha nikanyage tena mdogo mdogo ndio inarudi kwenye hali ya kawaida.
Wakuu, haya matatizo mawili yatakua na uhusiano? Yanaweza kuwa chanzo ni kitu gani? Spark plugs, Coil, nozzle, transmission fluid ama yaweza kuwa Nini wakuu.
Yaani kuwasha gari mpaka niweke Neutral (Kama kuna mteremko gari inaanza kuserereka duh)
Na hiyo ya kupiga resi (kupoteza gear ghafla) napokua nakanyaga mafuta kuongeza mwendo.
huu ni ujinga wa kiwango cha zegeToyota babywoka (IST/Passo)
Shida hasa hasa hapa ni mademu wa UDSM kuwapa lift na kimeoSijaelewa hata shida ni gari au demu
Huenda Mungu anamuepusha, hivi karibuni angelipa lift chinja chinja labda huwezi juaShida hasa hasa hapa ni mademu wa UDSM kuwapa lift na kimeo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Inamaana hujui gari yako ni aina gani kati ya hizo mbili? Pumbavu
Ah ah aha ahSijaelewa hata shida ni gari au demu
Mkuu unawasha gari bila kukanyaga break wala kuweka parking brake????Yaani kuwasha gari mpaka niweke Neutral (Kama kuna mteremko gari inaanza kuserereka duh)
Bila shaka hiyo ni passoToyota babywoka (IST/Passo)
Kwani mkuu kwenye mteremko ukiweka neutral na kukanyaga break gari litaserereka?Soma maelezo vizuri bro.
Mkuu... Heshima yako kwanza.Kwani mkuu kwenye mteremko ukiweka neutral na kukanyaga break gari litaserereka?
Shida hasa hasa hapa ni mademu wa UDSM kuwapa lift na kimeo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app