hii ndo shida ya kuwa na mahusiano na mademu wasokuwa na kazi, kina hadija magambaa, mwajuma ndala ndefu, 😂 huwezi kwepa vizinga kama siyo mizingaBaby Nikwambie kitu?
Daima wanaume wenzangu msijibu swali hili huwa ni mtego unaotoka kwa mwanamke ukikubali tu umeliwa lazima upigwe kizinga .
Cha kufanya badili mada chap kama mlikuwa mnachati au jifanye kama haujaiona hiyo Sms.
kubali utamu, kubali majukumu
Hasa wenye kazi ndio wana mahitaji makubwa zaidi,pasua kichwa.hii ndo shida ya kuwa na mahusiano na mademu wasokuwa na kazi, kina hadija magambaa, mwajuma ndala ndefu, 😂 huwezi kwepa vizinga kama siyo mizinga
Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta...Baby Nikwambie kitu?
Daima wanaume wenzangu msijibu swali hili huwa ni mtego unaotoka kwa mwanamke ukikubali tu umeliwa lazima upigwe kizinga .
Cha kufanya badili mada chap kama mlikuwa mnachati au jifanye kama haujaiona hiyo Sms.
Kama wewe ni mama, hivi G anamwitaje yule aliyemleta hapa duniani? Nakereka sana na wanaume wanaowaita wapenzi / wake zao mama.Mimi G hata nimuambie mara ngapi nikuambie kitu wala haogopi anasema niambie tu mama
Wanawake wote ni mama,maana tunazaaKama wewe ni mama, hivi G anamwitaje yule aliyemleta hapa duniani? Nakereka sana na wanaume wanaowaita wapenzi / wake zao mama.
Ongera sana mkuuKama mwanamke unamuelewa na unamalemgo nae itakubidi ujibu tu ili kuokoa shari nyingine..... Nashukuru Mungu najua umuhimu wa familia yangu, Kabla sijampa pesa mwanamke lazima Mama apate pia wadogo zangu wapate imefika kipindi nimesahau hata nilihonga lini
View attachment 937591Kamati ya roho ngumu ndio tunaweza kumudu hili swali