"Baby naomba uniunge mwenzio bundle limeisha"...Hebu jibu kama Baby

Cwt, una roho mbaya kumbe unajenga hatuambizani, unataka nikuunge na bando za wapi, alaf,dragon,waja mabati au sunshare..

Wote hao bando 1 mabati 16,nitumie picha za mabati nitakwambia sh ngapi kwa kila kampuni
 
Ntamjibu "Wee koma kila mtu apambane na mtandao wake na hivo vifurushi". Ila jamani yaani kweli bando la chuo voda sh 3000 unapata MB 600 kweli kweli??? Tutanyooka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom