bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 324
Habari zilizothibitishwa na Juma Nature mwenyewe na pia katka blog ya Sintah mpenz wa Nature wa zamani ni kuwa mwanamuziki na msanii wa maigzo Baby Joseph Madaha ni mwezi sasa anapika na kupakua nyumbani kwa Juma Kassimu Kiroboto a.k.a Juma Nature. Uhusiano huo umeripotiwa kuwa wa kimapenzi na c vngnevyo. Juma Nature ambaye mwezi wa 5 ameripotiwa kupewa M kadhaa na mkuu wa kaya kama asante kwa kuwashawish vijana kumchagua, aliachana na wife wake wa ndoa miez kadhaa sasa na hvyo Baby Madaha kukava namba vilivyo. Kaz kwel kwel