Pale kwenye 360 hamna watangazaji kuna wapiga stori.
Sijafuatilia hicho kipindi chao ila Hassan Ngoma na Babie Kabaya naweza kusema kabisa kwa confidence hawajishughulishi kutafuta ukweli wa jambo kabla ya kulileta kwenye majadiliano
Kwa ushauri tu wajifunze kwa wenzao wa Power breakfast kama jambo ni kubwa (kama hilo la chato kuwa au kutokuwa na Ikulu) kuna namna wanaliacha hewani ili kulitafutia majibu ya uhakika. Hawafikii conclusion
Pia kwenye maongezi yao kwenye PB (maana clouds vipindi vyao vingi ni maongezi) wanajitahidi sana kuwatafuta wenye majibu ya uhakika (source of information) na angalau kuna uulizwaji mzuri wa maswali yasiyo na ushabiki kuliko huyo Hassan Ngoma waliyemuweka pale
Mi nadhani bora hata Sam Sassali kuliko Hassan Ngoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijafuatilia hicho kipindi chao ila Hassan Ngoma na Babie Kabaya naweza kusema kabisa kwa confidence hawajishughulishi kutafuta ukweli wa jambo kabla ya kulileta kwenye majadiliano
Kwa ushauri tu wajifunze kwa wenzao wa Power breakfast kama jambo ni kubwa (kama hilo la chato kuwa au kutokuwa na Ikulu) kuna namna wanaliacha hewani ili kulitafutia majibu ya uhakika. Hawafikii conclusion
Pia kwenye maongezi yao kwenye PB (maana clouds vipindi vyao vingi ni maongezi) wanajitahidi sana kuwatafuta wenye majibu ya uhakika (source of information) na angalau kuna uulizwaji mzuri wa maswali yasiyo na ushabiki kuliko huyo Hassan Ngoma waliyemuweka pale
Mi nadhani bora hata Sam Sassali kuliko Hassan Ngoma
Sent using Jamii Forums mobile app