rrm72
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 508
- 299
Habari wana JF,
Napenda kujulishwa yafuatayo,
Hivi kikombe cha babu wa samunge bado kinaendelea?
Kati ya mamia, kama si maefu ya waliokunywa ile kitu, kuna takwimu za waliopona (Ukimwa wangapi?, Kanza wangapi?, TB wangapi?, kisukari wangapi?)
Kama hakipo tena na hakuna taaria za kitakwim za waliopona, huyu babu si ashitakiwe mahakama ya mafisadi
Napenda kujulishwa yafuatayo,
Hivi kikombe cha babu wa samunge bado kinaendelea?
Kati ya mamia, kama si maefu ya waliokunywa ile kitu, kuna takwimu za waliopona (Ukimwa wangapi?, Kanza wangapi?, TB wangapi?, kisukari wangapi?)
Kama hakipo tena na hakuna taaria za kitakwim za waliopona, huyu babu si ashitakiwe mahakama ya mafisadi