maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,050
- 14,930
Wadau najua hapa nagusa hisia za watu ila si vibaya nikihoji kidogo juu ya hili,tangu babu wa man u aondoke hii timu imekua inasuasua kidogo na hata yale makeke ya enzi zile ya kusawazisha dakika za majeruhi na ushindi juu hazionekani tena..sasa kulikua na tetesi kwamba yule mzee(nimemsahau jina) alikua na pete ambayo wengi walisema ndio ndumba... Sasa tuamini kwamba babu kocha alikua mchawi? Maana hii timu hata ilikua ikipigwa 3 bila dakika za 80 inarudisha na kukutwanga cha ushindi..au tatizo ninini ati..