As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,526
Mch Ambilikile Mwasapile (BABU WA LOLIONDO) aliyewakusanya watu wengi kutoka sehemu mbalimbali duniani kutokana na kuuza kikombe cha dawa inayotibu magonjwa mbalimbali.
Kuna interview alifanyiwa juzi na Ayo TV lakini sasa hivi wameiondoa (YouTube) lakini kwamujibu wa babu amesema yupo na anaendelea kufanya kazi ya kuwapa watu TIBA ya kikombe lakini watu wamepungua sana kwasababu amezushiwa kuwa amekufaLightning doesn't strike the same place twice, muda wake umepita. Apambane na hali yake.
Babu ndio amefunguka hivyo !!Haaa
Sidhani mkuu amesema kwa sasa ameamua kumtumikia Mungu kwaiyo hataki mwanamkeHuenda kashajisajili kwenye kile chama pendwa.......!!
Gharama yake ni kununua tu sabuni zenye picha za warembo matata.
Dawa yake inatibu Magonjwa yoteHiyo dawa yake inatibu nini kwa sasa? Maana wengi wa waliokunywa kikombe chake wenye matatizo konki wameshatangulia kwa mungu kwa kukosa maarifa.
Kama alishindwa kubutua kipindi kile ndo ntolee hivyo.Kuna interview alifanyiwa juzi na Ayo TV lakini sasa hivi wameiondoa (YouTube) lakini kwamujibu wa babu amesema yupo na anaendelea kufanya kazi ya kuwapa watu TIBA ya kikombe lakini watu wamepungua sana kwasababu amezushiwa kuwa amekufa
Lakini yuko vizuri sana Kimaisha ana gari 3 zenye thamani ya mil 130Kama alishindwa kubutua kipindi kile ndo ntolee hivyo.
😂😂😂😂 YULE MZEE ANA LAANA YA WATU WENGI SIKU AKIFA ATAWAPA TABU SANA NDUGU ZAKE MAANA ROHO YAKE HAITOKUBALIWA KUZIMU.Dawa yake inatibu Magonjwa yote
Kwani mwanzo alikua anamtumikia naniSidhani mkuu amesema kwa sasa ameamua kumtumikia Mungu kwaiyo hataki mwanamke
Basi atulie ale pensheni yake taratiiibuuu.Lakini yuko vizuri sana Kimaisha ana gari 3 zenye thamani ya mil 130
Amerudi upya kwa kushindoNinaona nyuzi nyingi za babu humu kwani kuna nn?
Kwanini mkuu mbona wengine wanasema walipona ?YULE MZEE ANA LAANA YA WATU WENGI SIKU AKIFA ATAWAPA TABU SANA NDUGU ZAKE MAANA ROHO YAKE HAITOKUBALIWA KUZIMU.
Swafiiii sana walahiLakini yuko vizuri sana Kimaisha ana gari 3 zenye thamani ya mil 130
Mzee alipiga hela ndefu sana kwa interview alifanyiwa juzi ameonyesha nyumba yake aliyojenga pamoja na magari matatu ikiwepo Fuso na Land Cruiser in short yuko vizuri na bado anapata Wateja ( wachache ) kutoka njee ya nchiSwafiiii sana walahi