MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Baada ya Mungu kuteremsha nyoka wenye sumu kali wa aina mbalimbali(Ukimwi,kansa,vidonda vya tumbo,BP nk) ili kuwaadabisha wana wa Israeli wana wa Israeli walimlilia Musa (Babu wa loliondo) awaombee kwa Mungu ili awaondolee janga hilo,baada ya musa kumsihi Mungu mungu alimwambia Musa(Babu wa loliondo) amsimamishe nyoka wa shaba (kikombe cha shaba) ili kila atazame asidhurike na nyoka. Ni wale waliotii na kuamini bila mashaka na bila kuteremsha macho kuwatazama tena nyoka ndio waliopona!
Kama haitoshi Musa(Babu wa loliondo) alipokuwa akitoa ishara kwa farao kuwa ametumwa na Bwana aliagizwa aitupe fimbo yake chini nayo itageuka kuwa nyoka tazama baada ya musa kuitupa fimbo yake wachawi na werevu (vikombe vya tabora, mbeya, ruvu moro nk) nao walifanya vivyo hivyo tazama nao fimbo zao zilgeuka kuwa nyoka lakini nyoka wa musa(Babu wa loliondo) aliwameza wale wengine! Babu katumwa na Mungu!
Kama haitoshi Musa(Babu wa loliondo) alipokuwa akitoa ishara kwa farao kuwa ametumwa na Bwana aliagizwa aitupe fimbo yake chini nayo itageuka kuwa nyoka tazama baada ya musa kuitupa fimbo yake wachawi na werevu (vikombe vya tabora, mbeya, ruvu moro nk) nao walifanya vivyo hivyo tazama nao fimbo zao zilgeuka kuwa nyoka lakini nyoka wa musa(Babu wa loliondo) aliwameza wale wengine! Babu katumwa na Mungu!