Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
UPDATE: Juzi Temeweka Hii Post Kuhusu Tukio Kubwa Linalokuja, Leo Janga la Meli Kuzama Zanzibar... 1+1=2...
Wanajamvini, tunapenda kuendelea kuwajuza mtiririko wa njama chafu za TISS. Mpango mzima ni kuanzisha kitu ambacho kitawafanya watanzania walekezo mawazo yao kwenye tukio mpya kwani ni wepesi wa kusahau huku serikali ikijipanga. Hii ni kutokana na serikali kuwa kwenye hali mbaya; kuchukiwa na wananchi kutokana na kitendo cha kumteka na kumtesa Dr. Ulimboka. Kwa hiyo TISS wanapanga mambo yafuatayo.
Kwa hiyo wazalendo, kaeni mkao wa kula. Msidanganyike, chochote kikitokea siku za hapa karibuni.
Wanajamvini, tunapenda kuendelea kuwajuza mtiririko wa njama chafu za TISS. Mpango mzima ni kuanzisha kitu ambacho kitawafanya watanzania walekezo mawazo yao kwenye tukio mpya kwani ni wepesi wa kusahau huku serikali ikijipanga. Hii ni kutokana na serikali kuwa kwenye hali mbaya; kuchukiwa na wananchi kutokana na kitendo cha kumteka na kumtesa Dr. Ulimboka. Kwa hiyo TISS wanapanga mambo yafuatayo.
- Kumpoteza Dr. Ulimboka moja kwa moja. Either kumshawishi asirudi nchini, kummaliza au kumpa hela au cheo kikubwa ili akirudi asiweze kuongea chochote na hata pia kuwasaliti madaktari wenzake. Tayari kuna wanausalama kutoka nchi moja kusini mwa Afrika inayoisaidia TISS kuunda hizi njama. Waliowekwa kushugulikia maswla ya ulimboka ni majasusi wabaya hasa ndani ya TISS. Baadhi yao ni madaktari wakongwe. Yaani ni watu wenye uzoefu mkubwa mno
- Kuna gesi/chemical ambayo anaweza kupuliziwa asiweze kukumbuka chochote pale watakapofanikiwa kumfikia. hii itatumika pale watakapoona kwamba kummaliza kunaweza kuwaangusha kutoka madarakani
- Kwa vile watanzania ni wepesi kusahau, kuna mkakati wa kuanzisha kitu kama Babu Wa loliondo kuelekeza akili za watu huko huku serikali ikijipanga
[*]Mpango wa kuwasingizia majambazi sugu pamoja na mchina bado huko pale pale.
[*]Wanajaribu kupanga namna ya kuwausisha viongozi wa Upinzani na uchochezi au maafa ya raia, kiongozi ili vurugu zianze huku chama cha upinzani kikibebeshwa mzingo
Kwa hiyo wazalendo, kaeni mkao wa kula. Msidanganyike, chochote kikitokea siku za hapa karibuni.