digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,893
- 14,347
Mchungaji Ambilikile Mwasapile (Babu wa Loliondo) amesema ameoteshwa na Mungu kutokea kwa tetemeko kubwa la pili tangu Dunia kuumbwa na kuna baadhi ya Nchi zitahamishwa na kwenda kujiunga na Nchi nyingine.
Babu wa Loliondo amesema tetemeko hilo litatokea usiku na kudumu kwa saa nne na halitakuwa na madhara bali litatenda mambo makubwa "Mwanadamu ni mbishi mpaka aone, waendelee kusubiri kama mimi ninavyosubiri"
Babu wa Loliondo amesema tetemeko hilo litatokea usiku na kudumu kwa saa nne na halitakuwa na madhara bali litatenda mambo makubwa "Mwanadamu ni mbishi mpaka aone, waendelee kusubiri kama mimi ninavyosubiri"