Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,987
Nipashe linamilikiwa na Tycoon Mengi, kwa kumbukumbu zangu Mengi hajawahi kushindwa vita na wote waliomjaribu waliangamia, ni swala la muda tu ndio huwa kwenye timing zake.
Ukitaka kumjuwa vizuri Mengi waulize Wahindi, muulize Masha, muulize Malima au muulize yule Profesa mjivuni aliyesoma kuliko mtanzania yeyote aliyemuita Mengi ni dalali tu na biashara anayowezakufanya ni ya maji na juice tu, na je leo yuko wapi?
Mengi ni taasisi kama Gwajima alivyo taasisi, ukitaka kuwekeana msuli na watu hawa ujuwe wazi unadeal na invisible defectors.