mohamedjohn
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 467
- 277
Hahahahahahaababu tale ndio nani au ni yule jamaa wa comedy akiitwa kitale
Hahahahahahaababu tale ndio nani au ni yule jamaa wa comedy akiitwa kitale
Ni kichawi uchwara fulani hivi kilichomdanganya mwenda zake kuwa kina uwezo wa kumkinga asipate madhara.babu tale ndio nani au ni yule jamaa wa comedy akiitwa kitale
HaweziBabu Tale amenyoosha maelezo na huo ndio UKWELI halisi.
Siyo kweliMwanaharakati si mwanasiasa. Mwanaharakati hupiga kote kote......Ukweli uko wazi, akiwa kama mwanamuziki maarufu Diamond na wanasanii wengine wote alipaswa kuwa neutral kama dada Judith Lady Jaydee. Kujitanabaisha kuwa wao ni ccm au cdm kwa waziwazi pasipo haya wamekosea sana. Siku wanamuziki vipenzi wa upinzani wakiwa nominated nao watakumbana na zengwe, na ikitokea chama kingine kikachukua nchi hata kama ni kwa kutotarajia, wasanii mashabiki wa ccm lazima watafanyiwa zengwe.
Music is a universal language, haipaswi mwanamuziki attached kwa tabaka lolote la kisiasa au chama cochote
Atayaona matokeo gani? Kwamba wapinzani jimboni kwake wataona kumtetea mondi ni kero ya jimbo lao?Babu tale anakosea sana kuliingilia hili swala kisiasa. Atayaona matokeo yake. Bora angekaa kimya au angeiga busara za Diamond mwenyewe
Kwa matakwa ya ccmKwani alikaa bungeni kwa miaka 15 kwa tume ipi?
Dua la kukuDiamond ni mmoja tu kati ya wengi wanaotakiwa kuwajibishwa kwa kuunga mkono wauaji,wezi,waoneaji na majambazi wa awamu ya 5. This marks the end of Diamond,mark my words
Wewe unayejiona mkamilifu mbona unaishia kupigia watu kelele humu jukwaani!!Hivyi babu tale??? Alichaguliwa na wananchi au alipewa ubunge?? Hawa ndo aina ya watu tulionao bungeni!! Ni hatari sana
Ana nini kwani asifikiwe?Hutakaa umfikie hata robo tu ya maisha yake. Yeye ni mbunge wewe ili ule lazima ufue boxer za mbowe
Endelea kushabilia hadi wahuni!Babu Tale amenyoosha maelezo na huo ndio UKWELI halisi.
Shenzi kbs wewe TAGA.Yani akae neutral kukufurahisha wewe?
Jinga kabisa