Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
Kwahio alikuwa anaumia ndan kwa ndani ryt?Aisee ogopa sana watu wenye tabasamu kama lote......kuna tabasamu flani hivi lilikuwepo kati yao halafu bidada alikuwa na kicheko flani mtu anayedeal na mambo ya councelling ni rahisi kudetect tatizo, alikuwa anacheka kama anamuendelezo wa kitu flani then anaongea anapiga stop na tabasam HATARI SANA.