Mwenzetu ni mtaalamu wa kuzuia mvua, serikali inapaswa kuipa kipaumbele taaluma yake ya kuzuia mvuaHuko alipotoka sitegemei chochote cha tofauti nae, atarudi bungeni, wale "watu" kule wanaishi dunia yao tofauti.
aina ya wabunge tulionae.. wana relfect aina za wananchi wa majimbo yao na fikra zao. so sadMwenzetu ni mtaalamu wa kuzuia mvua, serikali inapaswa kuipa kipaumbele taaluma yake ya kuzuia mvua
7milion,hazikatwi kodi ,sio mshahara nawala huwezi ombea mkopo bank4.8 kujumlisha 7 ni ngapi? Mkuu.
Hakuna mbunge aliyekuja kanusha huo mshahara wa 10Ml tena kwa Data ili tujue kweli.
Kabisa, kama nchi bado safari ni ndefu sanaaina ya wabunge tulionae.. wana relfect aina za wananchi wa majimbo yao na fikra zao. so sad
Akaunt yangu yamsharaHujanijibu swali, ila zinaingia kwa nani
Ha ha haaaa noma Sana hiiWatu wa Morogoro huwajui mkuu, huko wabunge ni wahindi na wachagga.
Angalieni tu usijekuwa dissapointed.
Ncha Kali... Komaa nae kabisa na aache kukaza fuvu ......Tulia wewe Babu Tale, pokea ushauri acha kukaza fuvu…. ni nini hiki umeandika?
Kiukweli hata mimi huwa najiuliza sana iliwezekana vipi tale kuwa mbunge. Yule jamaa namfahamu sana kichwani hamna kitu kabisa.Kuna muda huwa najiuliza tu kama watanzania tulianza anzaje kuwa na mbunge kama Babu Tale
Mwendazake alifanya kazi ya ubunge iwe ni kama kazi ya kubeti tu. Wanatangaza nafasi mwenye pesa anachukua Form mwenyekiti akimkubali basi ndio anakuwa mbunge, maana hakuna uchaguzi wa haki uliotokea ilikuwa one man say.
Mwendazake alikuwa anasema tu nileteeni huyu na huyu, jaji Lubuva na washirikia wake huko wakurugenzi na kina Polepole wanapitisha tu.
Leo hii tuna mbunge kama babu tale asiye jua ata Bunge lina kazi gani?
Mwendazake alikuwa anatupeleka kuleee shimoni kabisa.
Babu tale, Babu tale, Babu tale nimekwita mara tatu, tumia vuzuri pesa zako za posho 360k za kila siku unazopata hapo bungeni kwa ajiri ya mitano ya baadae.
Tumia vizuri hiyo 10 M ya kila mwezi kama mshahara wako wa ubunge kwa ajiri ya mitano ijayo. Pia utumie vizuri kiinua mgogo chako cha karibia 250M ya ubunge wako punde tu baada ya Rais wa JMT kuvunja Bunge mwaka 2025.
Usidhubutu, usidhubutu, usidhubutu, kurudia tena kuutaka ubunge utamaliza pesa zako za posho, mshahara na kiinua mgogo buree na Ubunge hautaupata tena.
Utapata wafuasi wengi wa kukushawishi ugombee tena. Hao hawana wema watakuwa tu wanataka kuchuma mali kutoka kwako wapuuze waambie tu Mitano uliyohudumu kazi ya ubunge kwako yatosha unaenda kupumzika.
Ukifanya hivyo utanishukuru baadae.
CCM imerudi kwa wenyewe na soon mtaona makucha yao.
Cc Zero IQ
Aisee wala wasisubutu nitawalamba wabunge wote wa viti maalumu pale bungeni plus watoto zao pia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌Siku ya kwanza kuingia bungeni kaingia na bonge la makaratasi rundo utafikiri kuna vya maana kumbe pumba tu
Inaenda kama ilivyoHivi hiyo 250M inakatwa kodi kama walivopitisha sheria kwamba viinua mgongo vya wengine vikatwe?
Bingwa ndumba tu kwa wasanii ....na kuzuia mvua ukitaka kutoka yeye akupeleke wachawi zaidi hapo hakuna ajualo...mmkewe RiP kamtoa kafara apate ubunge shame....Yule jamaa ni hewa na hajuagi hata kuchangia hoja