macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,770
- 39,555
mnakua = mnakuwa; inshu=ishu; Kwahio =kwa hiyo;Yani bongo bwana watu wana akili ndogo sana wanataka ukiwa mwalimu.ufundishege usifanye mishe zingine.
Watu wa aina yenu mkiwa maboss ndio huwa mnakua na wivu mkiona mtu anajishugulisha na inshu zaidi ya moja...