FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
oooooooooooooooooops pumzi ndefu ngoja nitafute maji kama Bujibuji alivyotoa advice
Hao waliotoka hawawezi kufungua kesi ya madai?
Vipi wakili wao Marando ameridhika na hukumu hii,? au ameahidi kukata rufaa, na vipi kisheria anaweza kukata rufaa nyingine?Niko maeneo ya mahakamani - Ndugu na jamaa zao wanalia kwa uchungu hawaamini kilichotokea mpaka saa hii
Vipi wakili wao Marando ameridhika na hukumu hii,? au ameahidi kukata rufaa, na vipi kisheria anaweza kukata rufaa nyingine?
hivyo upo uwezekano wakarejesha ombi la kuachiwa huru upya mahakamani ?kumbuka katika muhimili huu wa mahakama, mahakama ya rufaa ndiyo mahakama ya juu kuliko zote na uamuzi wake ni wa mwisho. Generally, the only remedy ni kwamba mahakama hii haifungwi na maamuzi yake na inaweza kuyatengua.
nguza hangeweza kuachiwa labda serikali ije nyingine.....wanaojuwa wameelewa!! hata hao walioachiwa wawili ni at least ..kwa kuwa mahakama ya rufaa ipo somehow free..
nguza hangeweza kuachiwa labda serikali ije nyingine.....wanaojuwa wameelewa!! hata hao walioachiwa wawili ni at least ..kwa kuwa mahakama ya rufaa ipo somehow free..
hivyo upo uwezekano wakarejesha ombi la kuachiwa huru upya mahakamani ?
Thursday, February 11, 2010 11:50 AM
MAHAKAMA ya Rufaa nchini imeamuru mwanamuziki Nguza Vikingi na mwanae Johnson Nguza warudishwe gerezani kwenda kutumikia kifungo cha maisha baada ya kuonekana kuwa na hatia ya kutenda makosa hayo.
Mbali na wawili hao kurudishwa gerezani mahakama hiyo imewaachia huru watoto wa mwanamuziki huyo ambao wote walikuwa wanatumikia kifungo hicho baada ya mahakama hiyo kuona washitakiwa hao walibambikiziwa kesi.
Walioachiwa huru ni mshitakiwa wa tatu Mbanga Nguza na mshitakiwa wa nne, Fransic Nguza ambao ni watoto wa mwanamuziki huyo wameonekana kutokuwa na hatia na hawakuhusika katika ubakaji huo.
Nguza na Johnson Papii wamerudishwa gerezani kwa kupatikana na mashitaka matano ambayo yaliwarudisha rumande kati ya mashitaka 23 yaliyokuwa yanawakabili awali.
Hivyo hukumu hiyo ilioyotolewa mahakmani hap oleo asubuhi ndio mahakama ambayo ina mamlaka ya mwisho dhidi ya rufaa iliyowasilishwa na washitkwia hao na hawataweza kuachiwa huru tena labda msamaha wa rais uweze kuwakomboa wanamuziki hao.
Naona unanyemelewa na mtindio wewe.umesikitika nn? kuachiwa au kufungwa maisha?
unaujua undani wa issue yenyewe?
Tuhuma za kulawiti watoto bana......kama kweli mm naona wapewe maisha, na viboko 10 kila siku!
katika Jamhuri kosa kubwa kuliko yote ni kosa la uhaini, na kama nakumbuka vyema mzee Mwinyi aliwahi kuwasamehe , jamaa fulani hivi waliohusika na tukio la UHAINI la mwaka 1984....kama kumbukumbu zangu ziko sahihi, nasema mfano huo kwasababu naamini hakuna mkosaji ambae Rais wa Jamuhuri hana uwezo wa kusamehe......kama nakosea nipo tayari kupokea maoni ya kisheria juu ya hili kwaajili ya kujifunza.Sheria ya kujamiiana ya 1998 inasema makosa yao hayana msamaha (Parole) likiwemo lile la msamaha wa rais.
ouch!Mahakama imeamua kuwaachia Francis na mtoto mwingine wa Nguza Viking huku Baba yao na kaka yao Papii Kocha wakianza kutumikia kifungo cha maisha
achana na huyo mzee...Sheikh yahya alisema wote wangetoka...
Utabiri wa mtabiri wetu umegonga mwamba.
inatia hasira sana!Watoto wawili wameachiwa huru ila Babu Seya na Papii Kocha wanaendelea na kifungo cha maisha
acha unafiki pole ya nini angekuwa mwanao kafanyiwa hivi ungekubali weweOooh God, pole zao jamani.