Muhusika kahojii,, waalikwa hatujui nn kinaendelea
Jamaa alimpa msamaha Rage huku akmfunga Babu Seya huku akiwa anacheka cheka kama kawaida yake.Anataka kufanya Kama Ismael Aden Rage
Baada ya kusamehewa Kifungo na Jk kwa kosa la Rushwa aliendelea na Rufaa yake mpaka ikaonekana Hana hatia hivyo record ya kuwa Mla Rushwa Kwa Mujibu wa Hukumu ikawa imefutwa
Baadae akaitumia hiyo hukumu ya Rufaa kulamba Ubunge na U Rais wa Simba
Jamaa alimpa msamaha Rage huku akmfunga Babu Seya huku akiwa anacheka cheka kama kawaida yake.
Hivi ikitokea Mahakama ikamua "vinginevyo" si atarudi tena huko huko!!! Mara paaaaaaaaaaaaaaap kitu kimedunda sijui atalia na nani!!!!!
Kwani 2004 jamaa hakua ni mtu mzito serikalini?Baby Seya kafungwa 2004 na Jakaya Kawa Rais 2005,
sio Kila Propaganda unaibeba tu kichwa umepewa kuchuja sio kubeba Kila jambo
Sawa,tuma salamu kwa watu watatu.Babu seya kafungwa 2003 acha chuki zako
upo sahihi kabisa mkuuBaby Seya kafungwa 2004 na Jakaya Kawa Rais 2005,
sio Kila Propaganda unaibeba tu kichwa umepewa kuchuja sio kubeba Kila jambo
Kuomba uraia!!!! Hiv huko Congo alifanya nn hata asitamani kuishi huko? Mm nilfikiri alipotoka tu wiki iliyofuata angesepa Congo.Hawezi kurudi Kwa kuwa Kasamehewa na Jamhuri sio Mahakama!
Kazi ya Mahakama itakuwa kusema alikuwa na hatia au laa!
Hiyo Ni Mikakati yake ya kuja kupewa Uraia,
mniwie radhi kuvujisha Habari
Kipindi anafungwa Huyo kikwete alikua na madaraka gani serikalini?Babu seya alifungwa si wakati wa Kikwete- USIMUONEE BURE
Sawa mana watoto nimekusikia ila leo litachacha tu.Ya kwanza ikifikie wewe unaoropoka mambo bila kuwa na uhakika,ya pili ikifukie wewe mwenye chuki na watu kwa kukaririshwa mambo na wewe kuyabeba bila kutafakari na ya tatu ikufikie wewe mjinga unaye post ujinga kwa sababu tu una bundle kwenye kitochi chako
Najua halijachacha nakuja jiandae kuchora 7 huku ukipakwa makohoziKwakuwa baba yako ni shoga maarufu mtaani kwenu hivyo unafikiri kila mtu yuko hivyo
alikuwa waziri asiyena influence yoyote-hakuwa kwenye inner cycle kama alivyokuwa Mkapa 1995- najua unakotaka kutupeleka SIKO SAHIHI ILA UNAHAKI YA KUAMINI AKILI ZAKOKipindi anafungwa Huyo kikwete alikua na madaraka gani serikalini?
Mtaani tu diwani anakupa kesi ya maana sembuse Waziri kigogo,huelewi kitu ndg
Hahah waziri asiye na influence yoyote lkn aliyemshinda Mkapa kwenye Uchaguzi wa ndani wa CCM 1995 ila akaambiwa bado muda wakealikuwa waziri asiyena influence yoyote-hakuwa kwenye inner cycle kama alivyokuwa Mkapa 1995- najua unakotaka kutupeleka SIKO SAHIHI ILA UNAHAKI YA KUAMINI AKILI ZAKO