mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,054
- 4,824
Consummation lazima iwepo mkuu bila hiyi ndoa hakunaKwani kuoa lazima wafanye ngono? We vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Consummation lazima iwepo mkuu bila hiyi ndoa hakunaKwani kuoa lazima wafanye ngono? We vipi
Saliiimaaa ooohYule ni mwingine ni mke wa mstaafu pensioner mzito
Wasalim wanandoa wetuOooh kumbe!
Hujui unalolisema we mbwa.Huyu alibaka vitoto vidogo! Wakati wa kesi alijitetea kuwa alikuwa HANISI, leo kaoa! Ina maana alikuwa anadanganya??? au atahitetea kuwa ametibiwa na akapona! Bakaji mkubwa
Hahaha afu huu wimbo sijui kwanini haupigwi sana,mostly nausikia ule wa Seya ila huu wa Salimaaa duuh ni mara chache kuusikia mkuu.Saliiimaaa oooh
Salimaaaaa oooh
KhaaaaaHujui unalolisema we mbwa.
Hii kesi ndiyo inanifanya mpaka leo namuona JK ni mnafiki na mzandiki. Wewe mpori mpori hujui kitu kaa kimya. Sisi watoto wa mjini tunajua A-Z. Enzi inawezekana ulikua kwenu Nachingwea nyau weeee
sijui unamaanisha nini hapo mkuu? kama unajua unajua tu?!Mkuu nimecheka sana hii comment yako,
Ni Wivu tu.Huyu mama mbona amekaa kibalotel Sana??
Kama baharia vileee
Kama unajua ukweli halafu umebaki nao moyoni mwako tu, unataka mwenzio ambaye hajui chochote asemeje? Wewe na yeye nani kati yenu atakua NYAU?Hujui unalolisema we mbwa.
Hii kesi ndiyo inanifanya mpaka leo namuona JK ni mnafiki na mzandiki. Wewe mpori mpori hujui kitu kaa kimya. Sisi watoto wa mjini tunajua A-Z. Enzi inawezekana ulikua kwenu Nachingwea nyau weeee
Baba au Babu?Go baba
Kweli soma page ya 35 ya hukumu yake ya mahakama kuu na page ya 9 ya ile ya Mahakama ya Rufani alisema hadindishi na akaleta mashahidi heheheMzee katika utetezi wake si alisema jogoo hapandi mtungi!
Noma sana mkuu, Wenzetu wanaita "Throwing in the kitchen sink", liwalo na liweKweli soma page ya 35 ya hukumu yake ya mahakama kuu na page ya 9 ya ile ya Mahakama ya Rufani alisema hadindishi na akaleta mashahidi heheheView attachment 1203170View attachment 1203171
Kuna vitu vingine vinashangaza na kuleta maswali mengi..ila tuwatakie tu Ndoa yenye furaha
Hahaa nimeishi songea miaka 3, nilichogundua hawa watani zangu bado wanaiendeleza ile policy ya kuzaana sana ( kusex sana) bila mipaka ili population yao iwe kubwa wadominate sehemu walizofikia wakati wanahama kutoka south,sasa bado wanaendeleza hizo tamadun licha ya kuwa wengiMkuu mie linapokuja suala la hawa wangoni nashindwa kupata jibu... sio wanaume sio wanawake yaani kati yao huwaga sipati mwenye nafuu sijui wenzetu pale walilogwa? eti nyie akina Mapunda, Ndunguru, Ngonyani, Komba, Mbawala kwanini wanaume ni moto chini na wanawake ni mcharuko mwanzo mwisho? nitayarishieni na mie nihamie huko Nakapanya kwani napenda nibadili mboga kila siku
Maendeleo hayana vyama!
Mzee kesi ya babu seya ni complicated kuliko benzane hexane na propane
Fructose 6 phosphateKuliko glycolysis pia.
Hivi inamaana Mama S alikua anatoka Babu S kabla ya kukutana na Pensioner Mzito au baada?..huwa siijui hii story vizuriYule ni mwingine ni mke wa mstaafu pensioner mzito