Babu Seya afunga ndoa na Katibu Tawala(DAS) wa Muheza

Taaarifa zilizotufikia hivi punde huyo mama ameshawishiwa na jiwe kama mpambe na atapewa URAS wa mkoa fulani kwenyr safu mpya 2021
 
You man that does not mean an impotent person can not marry. Impotent can not bear a child or let me say he can not cause a woman to get pregnancy in a normal way.
Si ungeandika Kiswahili tu,sasa hii ni nini,si mkusanyiko wa maneno tu,dah.
 
Serikali ya awamu ya wabakiji hii, wanatoana jela wanakaribishana IKULU na wanaona.
Huku mashekhe wa UWAMSHO wakiachwa jela miaka nenda rudi bila hukumu.
Nchi inaangamia kwa kukosa maalifa.
Hivi kweli kesi ya wale mashekh hakuna hata mawakili wa kusimamia kesi yao kweli?
 
View attachment 1200956Mwanamuziki Mkongwe nchini almaarufu kwa jina la Nguza Viking aka Babu Seya amefunga ndoa takatifu leo jijini Dar na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Esterine Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. #harusi #ndoa #furahayapamoja

=====

Mwanamuziki Nguza Viking maarufu (Babu Seya) leo Jumamosi Septemba 7, 2019 amefunga ndoa na Bi. Desderia Haule. Ndoa hiyo imefungwa katika kanisa Katoliki la Sinza. Bi. Desderia Haule ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
View attachment 1201103View attachment 1201099
Kaanza lini kasimisha?
 
Back
Top Bottom