ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,553
- 44,722
Nilikuwa nimetoka matembezini Niko na mdada goma langu sasa Nikakuta sehemu babu yangu amekaa nikamwambia Babu huyu niliye naye ndo mchumba nitamuoa nataka nitume mahari.
Baadae jioni babu akaja kuniambia kuwa ninakosea kwamba kiwango cha wachumba unachopaswa kuwa nao ni wanne ndo uchague mmoja.
Sio unampenda tu mtu njiani tayari ushamtamkia ndoa unatulia kwanza hata mwaka unawafanyia assessment baadae baada ya uchunguzi unakuja na jibu Moja Nani anafaa.
Baadae jioni babu akaja kuniambia kuwa ninakosea kwamba kiwango cha wachumba unachopaswa kuwa nao ni wanne ndo uchague mmoja.
Sio unampenda tu mtu njiani tayari ushamtamkia ndoa unatulia kwanza hata mwaka unawafanyia assessment baadae baada ya uchunguzi unakuja na jibu Moja Nani anafaa.