Babu aliyemfanyia tohara dogo Janja afunguka,asema Uwoya ni size yake

Babu mmoja Arusha amewatoa hofu mashabiki waliodai dogo janja huenda akawa anachapiwa mzigo na vijana wabemba nondo mjini,amedai kwa jinsi anavyomfahamu dogo janja alivyo lazima Uwoya atulie kabisa,pia ameongeza hata kama wangekuwa Wolper,Uwoya ,Wema na Aunt Ezekiel pamoja lazima wote wangetulia tu.
New-Doc-2017-11-01_3.jpg
Haya magazeti yanawajaza watanzania ujinga.
Mimi nimecheka na hiyo habari yenye picha korea inatisha marekani sasa yakubari
 
Babu mmoja Arusha amewatoa hofu mashabiki waliodai dogo janja huenda akawa anachapiwa mzigo na vijana wabemba nondo mjini,amedai kwa jinsi anavyomfahamu dogo janja alivyo lazima Uwoya atulie kabisa,pia ameongeza hata kama wangekuwa Wolper,Uwoya ,Wema na Aunt Ezekiel pamoja lazima wote wangetulia tu.
New-Doc-2017-11-01_3.jpg
Hivi huu upumbavu kwanini tuna ruhusu jamii yetu ilishwe takataka kama hizi?
Hivi tunajenga ama tunabomoa maadili ya kizazi kijacho..?
Wizara ya habari utamaduni na michezo je hizi ndio habari za kuipeleka mbele Nchi yetu?
kuna ulazima wa haya magazeti ya udaku yote kufungiwa. Hayana msaada wowote kwa Taifa letu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom