Babati

Babati

Mfonii

Member
Joined
Jul 2, 2021
Posts
54
Reaction score
37
Wakuu habari zenu?

Naomba wadau Wa babati waliopo humu JF kama nitapata dalali Wa nyumba nitashukuru
 
Ndio kaka😂😂
Hongera na karibu sana kwetu,

Usisahau kujifunza maneno madogo madogo ya lugha yetu adhimu ya ki irwaq baridi kali la usiku na vumbi ndio maisha ya Babati.

Chondechonde usioe kwetu ukaoe kwenu bwana mdogo
 
Hongera na karibu sana kwetu,

Usisahau kujifunza maneno madogo madogo ya lugha yetu adhimu ya ki irwaq baridi kali la usiku na vumbi ndio maisha ya Babati.

Chondechonde usioe kwetu ukaoe kwenu bwana mdogo
Shukrani kaka unaweza nipa muongozo inbox maana nahitaji nyumba ya family. Kuoa tayari Nina Miaka 7 Sasa ndoani
 
Shukrani kaka unaweza nipa muongozo inbox maana nahitaji nyumba ya family. Kuoa tayari Nina Miaka 7 Sasa ndoani
On top of all linda ndoa yako kwa ibada na Mungu wako....kuna kamsemo ka hapo Babati nimekasahau ila kinamaanisha hapo lazima kuachana!
 
On top of all linda ndoa yako kwa ibada na Mungu wako....kuna kamsemo ka hapo Babati nimekasahau ila kinamaanisha hapo lazima kuachana!
Siwezi kuachana nae mkuu kaniloga. Waha nimewanyooshea mikono😂🙏🏽
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom