Hongera na karibu sana kwetu,Ndio kaka😂😂
Shukrani kaka unaweza nipa muongozo inbox maana nahitaji nyumba ya family. Kuoa tayari Nina Miaka 7 Sasa ndoaniHongera na karibu sana kwetu,
Usisahau kujifunza maneno madogo madogo ya lugha yetu adhimu ya ki irwaq baridi kali la usiku na vumbi ndio maisha ya Babati.
Chondechonde usioe kwetu ukaoe kwenu bwana mdogo
On top of all linda ndoa yako kwa ibada na Mungu wako....kuna kamsemo ka hapo Babati nimekasahau ila kinamaanisha hapo lazima kuachana!Shukrani kaka unaweza nipa muongozo inbox maana nahitaji nyumba ya family. Kuoa tayari Nina Miaka 7 Sasa ndoani
😁😁On top of all linda ndoa yako kwa ibada na Mungu wako....kuna kamsemo ka hapo Babati nimekasahau ila kinamaanisha hapo lazima kuachana!