aliyeshindwa kwao anashindwa kokote kule.
Babati mungeuliza kwanini huyo Kisyeri Chambiri alikataliwas kwao. yaani vimisaada viduichu anavyoonga mmekubali.
Pata undani wake kwa ufupi.
Ni jamii ya watu wanaoamini kuwa wao ni watawala, wasomi.
Nduguye Mwita ni Mwizi maarufu wa kura popote alipo.
Waliwatukana waskurya ndo mana wakawanyima kura. Mmoja wapo ni Tajiri Gachuma. Ameaidiwa Uwaziri na Kikwete endapo atarudi bungeni.
Hamtamwonaa akishughuliuka na shida zenu. POLENI BABATI
Babati mungeuliza kwanini huyo Kisyeri Chambiri alikataliwas kwao. yaani vimisaada viduichu anavyoonga mmekubali.
Pata undani wake kwa ufupi.
Ni jamii ya watu wanaoamini kuwa wao ni watawala, wasomi.
Nduguye Mwita ni Mwizi maarufu wa kura popote alipo.
Waliwatukana waskurya ndo mana wakawanyima kura. Mmoja wapo ni Tajiri Gachuma. Ameaidiwa Uwaziri na Kikwete endapo atarudi bungeni.
Hamtamwonaa akishughuliuka na shida zenu. POLENI BABATI