BABATI wameanza kuhesabu kura upya baada ya CCM kuendesha uchakachuaji...NCCR wamegoma kwani ni ngome yao! Source ITV
Habari zaidi... Mawakala wa NCCR Mageuzi wanadai mgombea wao alishinda kwani ndiyo matokeo yaliokua kwenye vituo vyote..ila wanashangaa matokeo yametangazwa mengine!
Habari zaidi... Mawakala wa NCCR Mageuzi wanadai mgombea wao alishinda kwani ndiyo matokeo yaliokua kwenye vituo vyote..ila wanashangaa matokeo yametangazwa mengine!