BABATI, MANYARA: Mwenyekiti wa Baraza la Halmashauri ya Babati ang'olewa

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,395
Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Mohammed Kibiki(CHADEMA) ameng'olewa katika nafasi hiyo leo

> Baraza hilo limechukua uamuzi huo kwa maelezo kuwa bwana Kibiki ameshindwa kubuni vyanzo vya mapato vitakavyoisaidia Halmashauri hiyo
 
Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Mohammed Kibiki(CHADEMA) ameng'olewa katika nafasi hiyo leo

> Baraza hilo limechukua uamuzi huo kwa maelezo kuwa bwana Kibiki ameshindwa kubuni vyanzo vya mapato vitakavyoisaidia Halmashauri hiyo
Sasa wataalam wa halmashauri wanafanya kazi gani na ni kweli madiwani wote hawana ubunifu kweli wanamsubiri mwenyekiti peke yake ndio mwenye kichwa cha ubunifu? Hapo kuna sababu nyuma ya pazia!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom