Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wataalam wa halmashauri wanafanya kazi gani na ni kweli madiwani wote hawana ubunifu kweli wanamsubiri mwenyekiti peke yake ndio mwenye kichwa cha ubunifu? Hapo kuna sababu nyuma ya pazia!!Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Mohammed Kibiki(CHADEMA) ameng'olewa katika nafasi hiyo leo
> Baraza hilo limechukua uamuzi huo kwa maelezo kuwa bwana Kibiki ameshindwa kubuni vyanzo vya mapato vitakavyoisaidia Halmashauri hiyo