Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 1,413
- 4,289
Mie binafsi nadhani, watunga sheria wangeliangalia hili swala la bangi kwa mapana.
Iwe hivi, kosa la kukutwa na kiasi kidogo cha bangi mfano kete kadhaa au misokoto, adhabu yake iwe ni faini tu, kama mtu akishindwa kuilipa hiyo faini ndio apelekwe jela.
Idadi ya vijana vijana wanaovuta bangi ni kubwa kushinda hata ya wale wanaokunywa pombe(mtazamo wangu) nadhani mtaani, kati ya vijana 5, watatu ama wanne ni wavuta bangi(hiki ni chanzo cha mapato)
Iwepo tu sheria, ukikutwa na msokoto mmoja faini yake ni 20000, ikiwa misokoto 2 basi ni 2*20000, vivyo hivyo pia kwenye kete.
Watakao kamatwa kama wauzaji, wao wapelekwe mahakamani moja kwa moja na kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria.
Hiyo walau itasaidia kuingiza mapato serikalini na pia kupunguza speed ya uuzaji.
Hao mabeberu waliotwambia bange ni mbaya, kila siku wanazidi kuhalalisha huko makwao, jana tu, NEWYORK wametoka kuhalalisha bange kwa matumizi ya dawa, na itachukua miezi 18 pia wahalalishe kwa wavutaji.
Iwe hivi, kosa la kukutwa na kiasi kidogo cha bangi mfano kete kadhaa au misokoto, adhabu yake iwe ni faini tu, kama mtu akishindwa kuilipa hiyo faini ndio apelekwe jela.
Idadi ya vijana vijana wanaovuta bangi ni kubwa kushinda hata ya wale wanaokunywa pombe(mtazamo wangu) nadhani mtaani, kati ya vijana 5, watatu ama wanne ni wavuta bangi(hiki ni chanzo cha mapato)
Iwepo tu sheria, ukikutwa na msokoto mmoja faini yake ni 20000, ikiwa misokoto 2 basi ni 2*20000, vivyo hivyo pia kwenye kete.
Watakao kamatwa kama wauzaji, wao wapelekwe mahakamani moja kwa moja na kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria.
Hiyo walau itasaidia kuingiza mapato serikalini na pia kupunguza speed ya uuzaji.
Hao mabeberu waliotwambia bange ni mbaya, kila siku wanazidi kuhalalisha huko makwao, jana tu, NEWYORK wametoka kuhalalisha bange kwa matumizi ya dawa, na itachukua miezi 18 pia wahalalishe kwa wavutaji.