Babati: Jela miaka 30 kwa kukutwa na bangi gramu 566.9

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,010
9,875
Mahakama ya Wilaya ya Babati imewahukumu Alex Laurent (27) na Humphley Charles (25) kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na misokoto 200 ya bangi yenye uzito wa gramu 566.9

Hakimu wa Wilaya, Jumaa Mwambago alianza kusikiliza kesi hiyo Novemba 19, 2018 baada ya washtakiwa kuwa wamekamatwa Novemba 8, 2018 na misokoto hiyo ya bangi

Hukumu ilitolewa mshtakiwa Humphrey Charles bila kuwepo Mahakamani ambapo Mahakama imetoa amri ya kutafutwa na kukamatwa huku Alex Laurent akiwa ameanza kutumikia kifungo chake

Citizen
 
Mahakama ya Wilaya ya Babati imewahukumu Alex Laurent (27) na Humphley Charles (25) kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na misokoto 200 ya bangi yenye uzito wa gramu 566.9

Hakimu wa Wilaya, Jumaa Mwambago alianza kusikiliza kesi hiyo Novemba 19, 2018 baada ya washtakiwa kuwa wamekamatwa Novemba 8, 2018 na misokoto hiyo ya bangi

Hukumu ilitolewa mshtakiwa Humphrey Charles bila kuwepo Mahakamani ambapo Mahakama imetoa amri ya kutafutwa na kukamatwa huku Alex Laurent akiwa ameanza kutumikia kifungo chake

Citizen
Ili iwe fundisho kwa wengine
 
Mahakama ya Wilaya ya Babati imewahukumu Alex Laurent (27) na Humphley Charles (25) kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na misokoto 200 ya bangi yenye uzito wa gramu 566.9

Hakimu wa Wilaya, Jumaa Mwambago alianza kusikiliza kesi hiyo Novemba 19, 2018 baada ya washtakiwa kuwa wamekamatwa Novemba 8, 2018 na misokoto hiyo ya bangi

Hukumu ilitolewa mshtakiwa Humphrey Charles bila kuwepo Mahakamani ambapo Mahakama imetoa amri ya kutafutwa na kukamatwa huku Alex Laurent akiwa ameanza kutumikia kifungo chake

Citizen
duuh. mbona kuna watu wanakutwa na shamba zima sijawahi kuona wamepigwa miaka mingi hivi
 
Hizi mahamama za wilaya inatakiwa waangaliwe hukumu zao ziwe za miaka kumi na tano mwisho kama ambavyo hawawezi kusikiliza baadhi ya kesi kuna hukumu za ajabu sana huko utadhani hawasikilizi hukumu za mahakama zingine hata Kg moja haijafika unataka watu wafie jela ubinadamu wamekosa kabisa hao watoa hukumu...
 
wakate rufaa hao, hukumu ya kipumbavu sana, Ukizingatia wamekutwa na nusu kilo y misokoto na pia bangi sio madawa ambayo yana madhara makubwa kiasi hicho kwani nchi nyingi yameruhusiwa
 
wakate rufaa hao, hukumu ya kipumbavu sana, Ukizingatia wamekutwa na nusu kilo y misokoto na pia bangi sio madawa ambayo yana madhara makubwa kiasi hicho kwani nchi nyingi yameruhusiwa
Hakimu katumia Sheria wewe unaleta porojo
 
Siku baba zetu wazungu wakisema bangi si dawa za kulevya tena na ni zao mhim sana kwa ustawi wa afya ya mwanadamu tunageuka na kuanza kuisifia yaani sisi hasa wanaojiita wasomi ni inept kabisa
 
bangi iruhusiwe kulimwa tuu....ila 30 mingi......tufanye biashara halali duh......bora kukwepa kwepa kodi......hili la ndumu na yale mngine mengine.....tutawaacha wapendwa wetu bila kutarajia....
 
Kama wewe ni Humphrey Charles na umesikia jamaa yako Alex kapigwa mvua 30 ungekuwa ungetorokea wapi usipatikane kabisa.

Ila si haki, adhabu haiendani na kosa.
 
Back
Top Bottom