mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,251
Hakika Mh.Rais amezungumza mambo machache ila mazito yaliyolitafuna Shirika la Ndege ATCL.Miongoni mwa hayo
1.Wizi wa mafuta
2.Kuuza tiketi za ATCL Kwa mashirika mengine
3.Mwizi wa fedha za shirika huko Comoro kuongezewa mkataba n.k.
Namwomba Rais Magufuli ni vema Shirima likaundwa Upya Kwa kuwafukuza Kazi wafanyakazi wa zamani ili hao wapya waanze upya kama shirika lilivyoanza Na ndege mpya.Mh.Rais iruhusu Bodi itangaze nafasi za watumishi .Mh.Rais usikubali kuhama Na wezi.
1.Wizi wa mafuta
2.Kuuza tiketi za ATCL Kwa mashirika mengine
3.Mwizi wa fedha za shirika huko Comoro kuongezewa mkataba n.k.
Namwomba Rais Magufuli ni vema Shirima likaundwa Upya Kwa kuwafukuza Kazi wafanyakazi wa zamani ili hao wapya waanze upya kama shirika lilivyoanza Na ndege mpya.Mh.Rais iruhusu Bodi itangaze nafasi za watumishi .Mh.Rais usikubali kuhama Na wezi.