Baba yangu yupo Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa majuma matatu sasa, akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya koo

Oct 14, 2018
66
62
Bila shaka mpo vizuri wadau,

Baba yangu yupo Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa majuma matatu sasa akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani ya koo. Madaktari wanasema imeenea sana hadi kwenye ini, hivyo hamna namna yoyote ya kumtibu. Walichomsaidia juzi wamemfanyia operation wakamwekea mpira wa chakula halafu watamruhusu arudi nyumbani.

Hii ina maana anasubiria kufa tu, naombeni mwenye experience ya ugonjwa huu kwani inauma sana sikia tu kwa jirani yasikukute!
 
Kungekua na ahueni katika saratani yake, huenda wangempeleka OCEAN ROAD. Mpaka imefika hatua wamesema arudi nyumbani basi saratani imefika stage mbaya mno.

Moja ya saratani zinazowahi kuua mapema ni Ini, macho hubadilika kuwa njano na mgonjwa kujisikia vibaya sana, kansa ya koo (Oesophagus) nayo ikiwa Advanced stage ni ngumu kuituliza.

Saratani ambayo imeenea katika sehemu nyingi za mwili mgonjwa anapewa chemotherapy treatment, hii dawa itazunguka mwili mzima kuua seli za kansa. Ingeenea mbali na ini, labda mfano kwenye tumbo n.k bila shaka wangempa hii dawa.

Kwani Mkuu Mzee ana umri gani? Kama wewe ni wa kiume onesha msimamo wa kuitia moyo familia, pili Mkuu waweza kumuachia Mungu hili jambo kwa kuhudhuria katika maombi, kama Mungu amekusudia hili jambo ili mzee aokoke basi atapona na atasimulia matendo makuu ya Mungu.
 
Bila shaka mpo vizuri wadau,
Baba yangu yupo hospital ya taifa mhimbili kwa majuma matatu sasa,akisumbuliwa na ugonjwa wa cancer ya koo na madaktari wanasema imeenea sana hadi kwenye ini ,hivyo hamna namna yoyote ya kumtibu ,walichomsaidia juzi wamemfanyia operatio wakamwekea mpira wa chakula ,halafu watamruhu arudi nyumban ,hii inamaana anasubiria kufa tu, naombeni mwenye experience ya ugonjwa huu kwani inauma sana sikia tu kwa jirani yasikukute!!!!
Pole sana mkuu.

Jikaze, sote tu safari moja na hapa duniani ni kituo tu.

Cc Unforgetable
 
Pole mpendwa. Ila katika hali aliyofikia tuseme tu ukweli.
Jitahidini kuweka akiba ya kutosha kwa dharura yoyote ikitokea.
Pia hakikisheni mnaanza kuweka mazingira ya hapo nyumbani katika hali ya usafi.
Poleni sana, Mungu ndiye anayejua kuhusu kila mwanadamu. Anajua amepanga nini juu ya mzee wetu.
 
Bila shaka mpo vizuri wadau,
Baba yangu yupo hospital ya taifa mhimbili kwa majuma matatu sasa,akisumbuliwa na ugonjwa wa cancer ya koo na madaktari wanasema imeenea sana hadi kwenye ini ,hivyo hamna namna yoyote ya kumtibu ,walichomsaidia juzi wamemfanyia operatio wakamwekea mpira wa chakula ,halafu watamruhu arudi nyumban ,hii inamaana anasubiria kufa tu, naombeni mwenye experience ya ugonjwa huu kwani inauma sana sikia tu kwa jirani yasikukute!!!!
Check pm kuna ujumbe nimekutumia
 
Bila shaka mpo vizuri wadau,
Baba yangu yupo hospital ya taifa mhimbili kwa majuma matatu sasa,akisumbuliwa na ugonjwa wa cancer ya koo na madaktari wanasema imeenea sana hadi kwenye ini ,hivyo hamna namna yoyote ya kumtibu ,walichomsaidia juzi wamemfanyia operatio wakamwekea mpira wa chakula ,halafu watamruhu arudi nyumban ,hii inamaana anasubiria kufa tu, naombeni mwenye experience ya ugonjwa huu kwani inauma sana sikia tu kwa jirani yasikukute!!!!
Pole sana ndugu yangu
Vigumu sana kuona mzazi akiugua
Mungu awasimamie katika hili
Pole sana kwa Baba
 
Mhudumie mzee wako kwa upendo amalize safari yake ya hapa duniani salama. kumbuka ule wimbo wa yule jamaa aliyeimba "nitakufaje". Kila moja ana namna yake ya kumaliza safari. Pia kumbuka ule wimbo wa yule jamaa aliyeimba "Mbinguni hatuendi na gari". Jitie moyo, watie moyo ndugu, jikaze kiume, mchukue mzee wako ukamhudumie nyumbani. ni rahisi kumsafirisha mgonjwa kwenda nyumbani kuliko kumsafirisha akiwa amelala jumla.
 
Bila shaka mpo vizuri wadau,
Baba yangu yupo hospital ya taifa mhimbili kwa majuma matatu sasa,akisumbuliwa na ugonjwa wa cancer ya koo na madaktari wanasema imeenea sana hadi kwenye ini ,hivyo hamna namna yoyote ya kumtibu ,walichomsaidia juzi wamemfanyia operatio wakamwekea mpira wa chakula ,halafu watamruhu arudi nyumban ,hii inamaana anasubiria kufa tu, naombeni mwenye experience ya ugonjwa huu kwani inauma sana sikia tu kwa jirani yasikukute!!!!

Duh

Aisee pole sana mkuu!

Haya maisha haya...very tough!

Hebu tuone wenye uzoefu wanasemaje
 
Back
Top Bottom