Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,308
- 34,313
Aisee uahitaji ushauri au kudhihaki watuJAMN NINAPO ISHI SIO KAMA NYUMBA ZETU VIBANDA VYA NJIWA
NYUMBA NI KUBWA VYUMBA SITA IKIWA NA MASTER BEDROOM 3
Aisee uahitaji ushauri au kudhihaki watuJAMN NINAPO ISHI SIO KAMA NYUMBA ZETU VIBANDA VYA NJIWA
NYUMBA NI KUBWA VYUMBA SITA IKIWA NA MASTER BEDROOM 3
Mbona kamuheshimu endelea kukaa hapo siku atamwita 'we kenge'ndio utajua kwa nini watu wakioa have wanaenda kupangaNASHUKURU SANA..........ILA UGUMU WA MAISHA NDUGU.........HAPA NATAFUTA KAZI SIKAI NIKAMALIZQ SIKU NYUMBN............ALAF NIONGEZEE TU......MIMI NI MTOTO WA MWISHO......SAMAHAN KUSEMA HVO.............NATAKA NIJUE TU NI SAHII KUITWA HVO AU LA
Umasikini ni kitu kibaya sana ndugu yangu. Endelea kumuomba Mungu uweze kuhama hapo kwenu au angalau upate watoto ili aitwe Mama ShabanMke wangu tunaishi nae nyumbani lakini bado sijafunga naye ndoa.
Nimekaaa nae yapata miaka 6 sasa. Niko naishi pia na baba yangu nyumba moja.
Mke wangu analalamika kwanini baba yangu anamuita wewe badala ya jina lake.
Je, ni sahihi baba yangu kumwita mkewangu "Wewe"?
Naombeni mawazo yenu niweze kutatua hili jambo
Kwani yesu alimuacha mke wake wapi?Kama Yesu alienda kwa babaake yeye ni nani asiende kwa dingi ake
Acha kudeka wa kiume wewe OhooooJMN MSINIKEBEHI
TAFADHARI
Huyu dogo leo kajua kunichekeshaAisee uahitaji ushauri au kudhihaki watu
Baba ana kiwivu hivi ni vile ngumu kusema.
Ondoka wewe sasaBABA NI KWAKE ........
NAOMBA USHAURI KAMA NI SAHII AMA LA
KUSUD NIJUE
NIAMUE
Kwan Yesu alioa?Kwani yesu alimuacha mke wake wapi?
mmh huyu jamaa utakuwa mkurya ndugu kuwa mtoto wa mwisho hahami kambiniNASHUKURU SANA..........ILA UGUMU WA MAISHA NDUGU.........HAPA NATAFUTA KAZI SIKAI NIKAMALIZQ SIKU NYUMBN............ALAF NIONGEZEE TU......MIMI NI MTOTO WA MWISHO......SAMAHAN KUSEMA HVO.............NATAKA NIJUE TU NI SAHII KUITWA HVO AU LA
😅😅😅😅😅You sound like a teenage boy taking pride in his father's possessions. BE A MAN.
Kwani wewe lina ubaya gani 🤷🏼♀️ ...mpo kwake hivo anaweza anavojisikia yeyeNASHUKURU SANA..........ILA UGUMU WA MAISHA NDUGU.........HAPA NATAFUTA KAZI SIKAI NIKAMALIZQ SIKU NYUMBN............ALAF NIONGEZEE TU......MIMI NI MTOTO WA MWISHO......SAMAHAN KUSEMA HVO.............NATAKA NIJUE TU NI SAHII KUITWA HVO AU LA
DahNASHUKURU SANA..........ILA UGUMU WA MAISHA NDUGU.........HAPA NATAFUTA KAZI SIKAI NIKAMALIZQ SIKU NYUMBN............ALAF NIONGEZEE TU......MIMI NI MTOTO WA MWISHO......SAMAHAN KUSEMA HVO.............NATAKA NIJUE TU NI SAHII KUITWA HVO AU LA
kwahiyo mnatumia mlango mmoja, acha ujinga hamia chumba cha njeJAMN NINAPO ISHI SIO KAMA NYUMBA ZETU VIBANDA VYA NJIWA
NYUMBA NI KUBWA VYUMBA SITA IKIWA NA MASTER BEDROOM 3