Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,856
- 7,846
Umeomba ushauri, kwa hiyo usiwapangie watoa ushauri aina ya ushauri unaoutaka. Ukiomba ushauri, kuwa tayari kupokea kila kitu... Kuna pumba, points, matusi, kejeli, na ushauri wa kujenga pia utakaoupata, utapata pia hata ushauri ambao hukutaka kuusikia. Mwisho wa siku wewe ndo mfanya maamuzi.JAMAN ACHENI MASIHALA JMN
HII KITU NAISHI YAO KABISA
kunawenggine naona wako serios coz wana jibu ninachokiwaza mimi
NAOMBEN JAMN SIJAMLAZIMISHA MTU KUNISHAURI