seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Members,Baba yake Freeman Mbowe pamoja na Rupia hao ndio walikuwa matajiri wakubwa na wakutisha enzi za mkoloni
Mwalimu Nyerere na Chama cha TANU hawakuwa na pesa za kwenda ulaya Kushawishi nchi iwe uhuru,Baba yake Freeman Mbowe alimpatia Mwalimu Nyerere pesa ili aende umoja wa mataifa (UNO) kwenda kudai uhuru wa Tanganyika
Uhuru huu kuna watu walikubali kutoa pesa bila hofu ya mkoloni kufilisi biashara zao,Baba yake Freeman Mbowe alisimama imara kwa wakati wake
Huwezi ukatenganisha uhuru wa Tanzania na Tajiri aliyetoa pesa zake bila hofu yaani Baba ya Freeman Mbowe
Freeman Mbowe angeamua kuwa CCM au akiamua kurudi CCM atapokelewa kwa shangwe na vifijo vikubwa sana kwani Baba yake alimsaidia sana Mwalimu kwa fedha ili kutafuta uhuru wa Tanganyika.
Mwalimu Nyerere na Chama cha TANU hawakuwa na pesa za kwenda ulaya Kushawishi nchi iwe uhuru,Baba yake Freeman Mbowe alimpatia Mwalimu Nyerere pesa ili aende umoja wa mataifa (UNO) kwenda kudai uhuru wa Tanganyika
Uhuru huu kuna watu walikubali kutoa pesa bila hofu ya mkoloni kufilisi biashara zao,Baba yake Freeman Mbowe alisimama imara kwa wakati wake
Huwezi ukatenganisha uhuru wa Tanzania na Tajiri aliyetoa pesa zake bila hofu yaani Baba ya Freeman Mbowe
Freeman Mbowe angeamua kuwa CCM au akiamua kurudi CCM atapokelewa kwa shangwe na vifijo vikubwa sana kwani Baba yake alimsaidia sana Mwalimu kwa fedha ili kutafuta uhuru wa Tanganyika.