Baba wa taifa wa zanzibar huyu hapa na siyo karume

mzambia

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
885
60
JAMANI KWA WALE TUNAOFUATILIA HISTORIA YA TANZANIA TUNAFAHAMU ZANZIBAR ILIPATA UHURU MWAKA 1963 CHINI YA WAZIRI MKUU MOHAMED SHAMTE SASA IWEJE LEO HII TUMSAHAU SHAMTE KIRAHISI TU WAKATI YEYE NDIYE BABA WA TAIFA?

On December 16, 1963, Prime Minister Mohammed Shamte, as the head of the independent and sovereign goverment of Zanzibar, delivered what was to be a historic speech to the United Nations General Assembly in New York.



NAOMBA MCHANGO WOWOTE KWA HILI










 
Lazima asahauliwe, kwani Nyerere ndie aliepindua Zanzibar 1964 na kumueka Karume kwa jeshi lake.Sasa hapo mbona iko logic kabisa, wala hakuna utata!
 
Yaheee, mie nataka urojo kwanza ndo nitoe zangu hizo comment
 
ni kweli huyo mohamed shamte hata mie nilishamsikia kuwa ndiye aliyeleta uhuru wa zamzibar. lakini izingatiwe kuwa alipinduliwa zanzibar kwa sababu alikuwa akiridhia kutumika chini ya sultani jamshid na hakuwa akiungwa mkono na wazanzibari walio wengi na hivyo alionekana kibaraka tu. but kwa kuwa ni politics any could happen and more had happened since then
 
Du hata Mangi Marealle wa Moshi Nchi ya Kilimanjaro (Arusha, Moshi & Tanga) alihutubia United Nations General Assembly huko New York hajaitwa Baba hivyo shmte nae,Mtemvu, Milambo, Mkwawa
ok Happy New Year
 
kweli historia Tanzania zinapotoshwa sana..NYERERE alívyotoka musoma kina nani walimpokea dar- es-salaam na uhuru alitafuta peke yake tunamsoma na kumsikia peke yake.
 
na JOHN OKELLO aliyeongoza Mapinduzi ya Zanzibar Je? Ukisoma kitabu chake walivyomchakachua ndo utajua SIASA mbaya sana tuuuu
 
ni kweli huyo mohamed shamte hata mie nilishamsikia kuwa ndiye aliyeleta uhuru wa zamzibar. lakini izingatiwe kuwa alipinduliwa zanzibar kwa sababu alikuwa akiridhia kutumika chini ya sultani jamshid na hakuwa akiungwa mkono na wazanzibari walio wengi na hivyo alionekana kibaraka tu. but kwa kuwa ni politics any could happen and more had happened since then

Mkuu soma vizuri historia ufahamu halafu ndio uje hapa na pumba zako.Mapinduzi yalipangwa hapo Tanga, fuatilia kitabu cha Dr.Harith kina ushahidi wa kitaalamu na kutosha kama Mapinduzi ya Zanzibar hayakuwa na support ya kutosha kutoka Zanzibar.

Hivyo uhuru wa 1963 ni uhuru halali wa Zanzibar.Hoja ya kuwa usultani au ufalme, nadhani zipo nchi nyingi zinatumia mfumo wa kifalme wala mawaziri viongozi hawajaitwa vibaraka.Au mawaziri viongozi wote wa Europe ni vibaraka kwa kuwa wanatumikia wafalame ???

Mapinduzi yamezaa muungano, hayana tija yoyote.Nikipewa mie urais nafuta pumba zote za muungano+mapinduzi daima.Ni jamhuri ya watu wa Zanzibar kwenda mbele!
 
Mkuu soma vizuri historia ufahamu halafu ndio uje hapa na pumba zako.Mapinduzi yalipangwa hapo Tanga, fuatilia kitabu cha Dr.Harith kina ushahidi wa kitaalamu na kutosha kama Mapinduzi ya Zanzibar hayakuwa na support ya kutosha kutoka Zanzibar.

Hivyo uhuru wa 1963 ni uhuru halali wa Zanzibar.Hoja ya kuwa usultani au ufalme, nadhani zipo nchi nyingi zinatumia mfumo wa kifalme wala mawaziri viongozi hawajaitwa vibaraka.Au mawaziri viongozi wote wa Europe ni vibaraka kwa kuwa wanatumikia wafalame ???

Mapinduzi yamezaa muungano, hayana tija yoyote.Nikipewa mie urais nafuta pumba zote za muungano+mapinduzi daima.Ni jamhuri ya watu wa Zanzibar kwenda mbele!
endelea kuota na kuota tena na tena...
 
mkuu soma vizuri historia ufahamu halafu ndio uje hapa na pumba zako.mapinduzi yalipangwa hapo tanga, fuatilia kitabu cha dr.harith kina ushahidi wa kitaalamu na kutosha kama mapinduzi ya zanzibar hayakuwa na support ya kutosha kutoka zanzibar.

Hivyo uhuru wa 1963 ni uhuru halali wa zanzibar.hoja ya kuwa usultani au ufalme, nadhani zipo nchi nyingi zinatumia mfumo wa kifalme wala mawaziri viongozi hawajaitwa vibaraka.au mawaziri viongozi wote wa europe ni vibaraka kwa kuwa wanatumikia wafalame ???

Mapinduzi yamezaa muungano, hayana tija yoyote.nikipewa mie urais nafuta pumba zote za muungano+mapinduzi daima.ni jamhuri ya watu wa zanzibar kwenda mbele!


haya kayaandike kule kwenye upupu wenu watakuelewa sio watu walio huru kama hapa
 
Mkuu soma vizuri historia ufahamu halafu ndio uje hapa na pumba zako.Mapinduzi yalipangwa hapo Tanga, fuatilia kitabu cha Dr.Harith kina ushahidi wa kitaalamu na kutosha kama Mapinduzi ya Zanzibar hayakuwa na support ya kutosha kutoka Zanzibar.

Hivyo uhuru wa 1963 ni uhuru halali wa Zanzibar.Hoja ya kuwa usultani au ufalme, nadhani zipo nchi nyingi zinatumia mfumo wa kifalme wala mawaziri viongozi hawajaitwa vibaraka.Au mawaziri viongozi wote wa Europe ni vibaraka kwa kuwa wanatumikia wafalame ???

Mapinduzi yamezaa muungano, hayana tija yoyote.Nikipewa mie urais nafuta pumba zote za muungano+mapinduzi daima.Ni jamhuri ya watu wa Zanzibar kwenda mbele!

Mr. Froasty,

The king of Spain is spaniard. The King of Sweden is Swedish. Therefore, mornachies in many European countries are legitimate institutions and deep rooted in history of those countries. On the other hand, the Zanzibar monachy is an institution that hadno root in East Africa. Therefore, Zanzibar revolution is more memorable than the independency of 1963. It's changed the landscape for good.
 
Lazima asahauliwe, kwani Nyerere ndie aliepindua Zanzibar 1964 na kumueka Karume kwa jeshi lake.Sasa hapo mbona iko logic kabisa, wala hakuna utata!

Mh, wana jf kama issue haimo ktk anga zao,wana majibu simple sijapata ona! Teh teh! wana jf kiboko!
 
Nyerere kaua historia ya Tanzania akina Skyes hatuwaoni wala hawasikii
Nyerere kaua historia ya Zanzibar

wana Historia wamechakachua ukweli wa fuvu la Mkwawa , lile silo la kweli!!!

Vita ya Idd Amin tulidanganywa!!

yaanai bagala shaghala!
 
Mkuu soma vizuri historia ufahamu halafu ndio uje hapa na pumba zako.Mapinduzi yalipangwa hapo Tanga, fuatilia kitabu cha Dr.Harith kina ushahidi wa kitaalamu na kutosha kama Mapinduzi ya Zanzibar hayakuwa na support ya kutosha kutoka Zanzibar.

Hivyo uhuru wa 1963 ni uhuru halali wa Zanzibar.Hoja ya kuwa usultani au ufalme, nadhani zipo nchi nyingi zinatumia mfumo wa kifalme wala mawaziri viongozi hawajaitwa vibaraka.Au mawaziri viongozi wote wa Europe ni vibaraka kwa kuwa wanatumikia wafalame ???

Mapinduzi yamezaa muungano, hayana tija yoyote.Nikipewa mie urais nafuta pumba zote za muungano+mapinduzi daima.Ni jamhuri ya watu wa Zanzibar kwenda mbele!

mmh, ndugu naona una hasira kweli. pole na yaliyokukuta na ubarikiwe na Bwana
 
Nyerere kaua historia ya Tanzania akina Skyes hatuwaoni wala hawasikii
Nyerere kaua historia ya Zanzibar

wana Historia wamechakachua ukweli wa fuvu la Mkwawa , lile silo la kweli!!!

Vita ya Idd Amin tulidanganywa!!

yaanai bagala shaghala!
Kwa kulalamika tu! Akina Sykes kama wanataka wajipatie umaarufu si wachukue kalamu na karatasi waandike historia zao badala ya kukaa vijiwe vya kahawa na kulalamika?
 
JAMANI KWA WALE TUNAOFUATILIA HISTORIA YA TANZANIA TUNAFAHAMU ZANZIBAR ILIPATA UHURU MWAKA 1963 CHINI YA WAZIRI MKUU MOHAMED SHAMTE SASA IWEJE LEO HII TUMSAHAU SHAMTE KIRAHISI TU WAKATI YEYE NDIYE BABA WA TAIFA?

On December 16, 1963, Prime Minister Mohammed Shamte, as the head of the independent and sovereign goverment of Zanzibar, delivered what was to be a historic speech to the United Nations General Assembly in New York.


NAOMBA MCHANGO WOWOTE KWA HILI











Hebu tupe hiyo speech
 
Back
Top Bottom