MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
kwa classic management principle zilizotawala enzi zile Mwl alikuwa sawa kabisa.mifumo ya mwanzo ya utawala wa kiraia ime originate kutoka jeshini.Watu wanachangia hii mada wakiwa na hisia za Kikwete kama rais wa nchi sasa,hebu fikirieni askari wa cheo cha chini kule kaboya leo amuandikie malalamiko ya kijeshi Kikwete!