DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,398
- 2,593
- Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa ni kiongozi aliyepiga vita vikali kuhusu ubaguzi wa kidini au kikabila ndani ya taifa letu la Tanzania.
- Baba wa Taifa alihimiza siku zote za uhai wake pawepo mshikamano wenye umoja baina ya WATANZANIA ndani au nje ya Tanzania pasipo kubaguana kwa misingi yoyote ile iwe ukabila au udini
- Kwa kipindi Cha miaka ya hivi karibuni Taifa letu limekubwa na kasumba moja mbaya Sana kuhusu viongozi wanaoteuliwa.kwa watu[wananchi] kutazama zaidi kuhusu dini zao pasipo kutazama UTANZANIA wao waliokuwanao na sifa zao zilizowafanya wachaguliwe
- Ningependa kushauri kwa WATANZANIA wenzangu kutokutazama zaidi udini wa mtu katika teuzi za viongozi bali kuzama zaidi kuhusu sifa za kiongozi aliyetauliwa au kuchaguliwa.
- Ningependa kushauri pia kwa viongozi kuacha kasumba au kutokuwa na kasumba ya kuchagua watu kwa misingi ya dini zao bali wawachague kutokana na sifa zao zilizobora.
- Migogoro mingi ya kidini duniani uanza taratibu kwa vitu vidogo vidogo na mwisho uwa mikubwa zaidi na yenye madhara.
- Hii ni Tanzania ya watu wote wenye dini na wasio na dini.Wote wanastahili kutumikia serikali [ kuchaguliwa/ kuteuliwa]
Mwisho sikiliza kwa makini maneno ya baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akionya kwa ukali kuhusu udini ndani ya taifa letu la Tanzania. kwenye video fupi hapa chini
- Baba wa Taifa alihimiza siku zote za uhai wake pawepo mshikamano wenye umoja baina ya WATANZANIA ndani au nje ya Tanzania pasipo kubaguana kwa misingi yoyote ile iwe ukabila au udini
- Kwa kipindi Cha miaka ya hivi karibuni Taifa letu limekubwa na kasumba moja mbaya Sana kuhusu viongozi wanaoteuliwa.kwa watu[wananchi] kutazama zaidi kuhusu dini zao pasipo kutazama UTANZANIA wao waliokuwanao na sifa zao zilizowafanya wachaguliwe
- Ningependa kushauri kwa WATANZANIA wenzangu kutokutazama zaidi udini wa mtu katika teuzi za viongozi bali kuzama zaidi kuhusu sifa za kiongozi aliyetauliwa au kuchaguliwa.
- Ningependa kushauri pia kwa viongozi kuacha kasumba au kutokuwa na kasumba ya kuchagua watu kwa misingi ya dini zao bali wawachague kutokana na sifa zao zilizobora.
- Migogoro mingi ya kidini duniani uanza taratibu kwa vitu vidogo vidogo na mwisho uwa mikubwa zaidi na yenye madhara.
- Hii ni Tanzania ya watu wote wenye dini na wasio na dini.Wote wanastahili kutumikia serikali [ kuchaguliwa/ kuteuliwa]
Mwisho sikiliza kwa makini maneno ya baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akionya kwa ukali kuhusu udini ndani ya taifa letu la Tanzania. kwenye video fupi hapa chini