Sasa kwani baba akiwa ACT lazima mtoto nae awe hivo. Uliza Haji Manara baba yake ni Simba kisha utapta jibuBaba wa Abass Juma Muhunzi ambaye ni Makamu Mwenyekiti CUF upande wa Lipumba awa mtu wa Kwanza kujiunga ACT kule kisiwani Pemba.
#UlipoTupo.
View attachment 1051993
Hii inamaanisha ingekuwa ni kwenye sanduku la kura basi jamaa angejikuta na kura moja tuu aliyojipigia mwenyewe.Kiongozi wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amekabidhi kadi za wanachama wa ACT kwa familia ya Makamo mwenyekiti wa CUF Zanzibar Abasi Juma Muhunzi pamoja na ndugu wengine wa familia hio.
View attachment 1051997
Kwa nimjuavvyo maalim kule zanzibar hatabakisha mtu wote ACT.
Zanzibar kuna siasa kuliko sehemu yeyote ulimwenguni watu wake wana msimamo hatari sana
Kulima inahitaji uwe na shamba, la sivyo utajikuta unakuwa kibarua katika shamba la mwezio.Zanzibar upinzani upo kwa sultan sawasawa mzee ngangari lipumba na wafuasi wajiandae wakalime tumbaku uko Tabora kwakua awamu inyokuja hatapata ata ruzuku na Lumumba hawamuhitaji tena hanafaida kwao kwasasa.
Kwani Maalim Seif mwenye kadi namba 1 ya ACT ni mtu wa Pemba ipi?wewe umesoma skuli ya jioni, ni kwamba kule pemba ACT haijawai kuwa na mwanachama sasa Mzee Muhunzi kawa mtu wa kwanza kupewa kadi. Angalia kwenye picha
Simba ni chama cha siasa?Sasa kwani baba akiwa ACT lazima mtoto nae awe hivo. Uliza Haji Manara baba yake ni Simba kisha utapta jibu
Kwani Maalim Seif mwenye kadi namba 1 ya ACT ni mtu wa Pemba ipi?
Babu yake yangaSasa kwani baba akiwa ACT lazima mtoto nae awe hivo. Uliza Haji Manara baba yake ni Simba kisha utapta jibu