Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
Kwenda kwa:kamati kuu ya mahusiano chitchat
copy: Baba V,
copy: Judgement Mamndenyi BADILI TABIA,
yah:kutokua na imani na mwenyekiti wa mahusiano chitchat Baba V.
Rejea kichwa cha habari hapo juu chahusika,nikiwa pamoja na mwenzi wangu Madame B,tunasikitika kutokana na tabia ama kauli za kidikteta anazozileta mwenyekiti kwa kuona yupo juu ya sheria.mojawapo ya baadhi ya sababu zinazotupa wasiwasi ni kama zifuatazo,
1.toka tumetangaza tuna mahusiano,amekuwa mstari wa mbele kutaka kuvuruga ama kuuvunja uhusiano wetu na Madame B,kwa kuzusha tuhuma mbalimbali,
2.amekuwa ana nia ya kuvunja mahusiano na sio kusuluhisha kwa kuwa anakuja katika usuluhishi akiwa na jibu na uamuzi tayari
3.toka ameanza kutufuatilia tumeshindwa kuelewa ni yeye ndiye anayeleta malalamiko akidai ameletewa na mtu anayejiita Ruttashobolwa,ilhali hatujawahi kuona huyo mtu akitamka hadharani
4:mwenzi wangu Madame B alishatamka kuwa hamtaki na wala hampendi mtu anayejiita Ruttashobolwa lakini mwenyekiti amejifanya kama hakuona hiyo statement
5.sababu inayotupa mashaka ni kuwa barua niliyoituma katika kamati ya screening ameidharau na amewadharau wanakamati hiyo kwa kuwa hakusubiri wakae kikao na kuamua kujichukulia hatua mikononi kwa kujiona yupo juu ya sheria
ninaomba kuupitia kamati hii mwenyekiti aweke vithibitisho vifuatavyo,malalamiko ya ndugu Ruttashobolwa,na taarifa rasmi aliyoletewa na kamati ya screening kama anavyojaribu kuuhadaa umma wa wanachitchat watuone sisi ni wabaya.
Pia kwa muonekano dhahiri inaonyesha kuwa mwenyekiti Baba V anamtaka mwandani wangu Madame B ndio maana ananishinikiza niutangazie umma kwamba nimemuacha ili nikishatangaza yeye apate sababu ya kimaandishi ya kutumia ili yeye ampate janja yake tumeishtukia.
Na swali analotakiwa kujibu Baba V ni ndoa ipi ambayo mwanaume hajui mke wake analala wapi,anavaa nini,anakula nini kwa muda mrefu?kwa sababu anajua fika ktk umri alionao bado anakaa kwa wazazi na alimuona Madame B anakaa katika nyumba yeye mwenyewe ameona atumie huo mwanya ili akaishi na mwandani wangu.
Ndugu wanakamati,mpenzi wangu Madame B sikumfuata katika nyumba ya mtu anayejiita Ruttashobolwa la,bali nilimkuta katika nyumba moja yeye mwenyewe na ndipo nilipomwaga sera zangu naye akazikubali,.
Kutokana na hayo machache naomba kamati iitishe kikao cha dharula kuangalia mwenendo mzima wa mwenyekiti kwa kuwa kila dalili inaonyesha kuna mchezo mchafu unafanyika na ambao wanaujua ni Baba V na Ruttashobolwa.HAKI IPO WAPI KAMA NA MWENYEKITI ANAANZA KUZENGEA WACHUMBA WETU,JE KWA WASIO NA UWEZO WATASALIMIKA?
Asanteni
Chimbuvu & Madame B
copy: Baba V,
copy: Judgement Mamndenyi BADILI TABIA,
yah:kutokua na imani na mwenyekiti wa mahusiano chitchat Baba V.
Rejea kichwa cha habari hapo juu chahusika,nikiwa pamoja na mwenzi wangu Madame B,tunasikitika kutokana na tabia ama kauli za kidikteta anazozileta mwenyekiti kwa kuona yupo juu ya sheria.mojawapo ya baadhi ya sababu zinazotupa wasiwasi ni kama zifuatazo,
1.toka tumetangaza tuna mahusiano,amekuwa mstari wa mbele kutaka kuvuruga ama kuuvunja uhusiano wetu na Madame B,kwa kuzusha tuhuma mbalimbali,
2.amekuwa ana nia ya kuvunja mahusiano na sio kusuluhisha kwa kuwa anakuja katika usuluhishi akiwa na jibu na uamuzi tayari
3.toka ameanza kutufuatilia tumeshindwa kuelewa ni yeye ndiye anayeleta malalamiko akidai ameletewa na mtu anayejiita Ruttashobolwa,ilhali hatujawahi kuona huyo mtu akitamka hadharani
4:mwenzi wangu Madame B alishatamka kuwa hamtaki na wala hampendi mtu anayejiita Ruttashobolwa lakini mwenyekiti amejifanya kama hakuona hiyo statement
5.sababu inayotupa mashaka ni kuwa barua niliyoituma katika kamati ya screening ameidharau na amewadharau wanakamati hiyo kwa kuwa hakusubiri wakae kikao na kuamua kujichukulia hatua mikononi kwa kujiona yupo juu ya sheria
ninaomba kuupitia kamati hii mwenyekiti aweke vithibitisho vifuatavyo,malalamiko ya ndugu Ruttashobolwa,na taarifa rasmi aliyoletewa na kamati ya screening kama anavyojaribu kuuhadaa umma wa wanachitchat watuone sisi ni wabaya.
Pia kwa muonekano dhahiri inaonyesha kuwa mwenyekiti Baba V anamtaka mwandani wangu Madame B ndio maana ananishinikiza niutangazie umma kwamba nimemuacha ili nikishatangaza yeye apate sababu ya kimaandishi ya kutumia ili yeye ampate janja yake tumeishtukia.
Na swali analotakiwa kujibu Baba V ni ndoa ipi ambayo mwanaume hajui mke wake analala wapi,anavaa nini,anakula nini kwa muda mrefu?kwa sababu anajua fika ktk umri alionao bado anakaa kwa wazazi na alimuona Madame B anakaa katika nyumba yeye mwenyewe ameona atumie huo mwanya ili akaishi na mwandani wangu.
Ndugu wanakamati,mpenzi wangu Madame B sikumfuata katika nyumba ya mtu anayejiita Ruttashobolwa la,bali nilimkuta katika nyumba moja yeye mwenyewe na ndipo nilipomwaga sera zangu naye akazikubali,.
Kutokana na hayo machache naomba kamati iitishe kikao cha dharula kuangalia mwenendo mzima wa mwenyekiti kwa kuwa kila dalili inaonyesha kuna mchezo mchafu unafanyika na ambao wanaujua ni Baba V na Ruttashobolwa.HAKI IPO WAPI KAMA NA MWENYEKITI ANAANZA KUZENGEA WACHUMBA WETU,JE KWA WASIO NA UWEZO WATASALIMIKA?
Asanteni
Chimbuvu & Madame B
Last edited by a moderator: