Baba Ubaya Style

DEVINE

JF-Expert Member
Mar 11, 2011
536
86
Jama nina swali ivi ule mtindo wa wanafunzi kwenda shuleni namna ya baba ubaya (style) upo? Na kama upo maeneo gani na kwanini unaendelea? Maana nakumbuka ile kitu ilikuwa inapatikana kwenye fomu ya kujiunga (joining instructions).Sijui sasa..
NB;Baba Ubaya style,mtindo wa kwenda shuleni na mapanga,majembe,reki,sime hata visu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom