CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Ni miaka kumi na mitano (15) imepita tangu baba yetu mpendwa ututoke duniani. ilikuwa siku ya majonzi,huzuni na siku niliyopatwa uchungu ambao sijawahi upata tena. Tunakukumbuka kwa busara,hekima na upendo tulioupata toka kwako. lakini ulizimika kama mshumaa wakati wa upepo.
unakumbukwa sana na mama yetu mpendwa, watoto, wajukuu, ndugu jamaa na marafiki.
BWANA ALITOA, BWANA ALITWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE!!!!!!
unakumbukwa sana na mama yetu mpendwa, watoto, wajukuu, ndugu jamaa na marafiki.
BWANA ALITOA, BWANA ALITWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE!!!!!!