6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,116
Mawasalimu kwa jina la JMT.
Nalishuhudia hili jambo. Kumbuka ewe baba umri unaenda itafika kipindi hauna nguvu za kufanya kazi, utakuwa umestaafu na utakuta haukujenga ukaribu na wanao. Watoto ni faraja ya uzeeni kaa nae vizuri.
Tunajua Majukumu ya baba ni kutafuta riziki ya familia lakin kwenye swala la kutafuta angalau kila siku ukae na watoto wako upige nao story n jambo la manufaa kwa baadae. Wanawake/wake zenu wanachukua point nyingi sana kwa watoto, mama anachukua pesa kwa baba anamkidhi mahitaji ya watoto, hawa watoto kwenye ukuaji wao wanaamin mama ndio kila kitu kuhusu Wao.
Mbaya zaid Mama akiwa anatatua mahitaji ya watoto hawez kutatua hiv hivi, kuna maneno atayaongea tu ambayo maneno hayo yatamfanya baba aonekane sio kitu, lakin kwa uhalisia sio kweli.
Nb. Hawa wanawake wanapandikiza chuki sana kwa watoto juu ya baba yao, Ishi nao vizuri. Kuna tofauti ya kudekeza na kuishi nao vizuri watoto.
Mwandiko sio maridadi ila ujumbe ufike kwa wanaume wote.
Nalishuhudia hili jambo. Kumbuka ewe baba umri unaenda itafika kipindi hauna nguvu za kufanya kazi, utakuwa umestaafu na utakuta haukujenga ukaribu na wanao. Watoto ni faraja ya uzeeni kaa nae vizuri.
Tunajua Majukumu ya baba ni kutafuta riziki ya familia lakin kwenye swala la kutafuta angalau kila siku ukae na watoto wako upige nao story n jambo la manufaa kwa baadae. Wanawake/wake zenu wanachukua point nyingi sana kwa watoto, mama anachukua pesa kwa baba anamkidhi mahitaji ya watoto, hawa watoto kwenye ukuaji wao wanaamin mama ndio kila kitu kuhusu Wao.
Mbaya zaid Mama akiwa anatatua mahitaji ya watoto hawez kutatua hiv hivi, kuna maneno atayaongea tu ambayo maneno hayo yatamfanya baba aonekane sio kitu, lakin kwa uhalisia sio kweli.
Nb. Hawa wanawake wanapandikiza chuki sana kwa watoto juu ya baba yao, Ishi nao vizuri. Kuna tofauti ya kudekeza na kuishi nao vizuri watoto.
Mwandiko sio maridadi ila ujumbe ufike kwa wanaume wote.