Baba Swalehe uko wapi Mkuu?

dunia kweli inaenda ukingoni,,
unamtafuta dume mwenzio huku unabana pua!!
Mkuu nakuheshimu sana ila kauli ulioitumia hapa sio nzuri hata kidogo please kuwa makini mzee wangu sio wote ni watoto humu ndugu yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom