Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
Siku ya Ijumaa tarehe 7/10/2011 mke wangu alijifungua mtoto wa kiume na tulikubaliana kuwa yeye ndo amchagulie jina mtoto. Sasa leo usiku narudi home toka kwenye mishemishe zangu, mke wangu ananiambia kampa mtoto jina la ROSTAM.
Nikadhani ananitania kumbe she's serious na yeye anajua vilivyo msimamo wangu dhidi ya mafisadi lakini yeye kasisitiza kuwa hajachagua jina hilo ili kunichokoza bali analipenda tu jina hilo licha ya kuwa mtu maarufu mwenye jina kama hilo hapa TZ anahusishwa na tuhuma za rushwa.
Kwa kuwa tulikubaliana awali kuwa yeye ndo atampa jina mtoto sina jinsi imebidi nikubali kuwa BABA ROSTAM kuanzia leo! Je ingekuwa wewe ungeamuaje?
Nikadhani ananitania kumbe she's serious na yeye anajua vilivyo msimamo wangu dhidi ya mafisadi lakini yeye kasisitiza kuwa hajachagua jina hilo ili kunichokoza bali analipenda tu jina hilo licha ya kuwa mtu maarufu mwenye jina kama hilo hapa TZ anahusishwa na tuhuma za rushwa.
Kwa kuwa tulikubaliana awali kuwa yeye ndo atampa jina mtoto sina jinsi imebidi nikubali kuwa BABA ROSTAM kuanzia leo! Je ingekuwa wewe ungeamuaje?