Kutofautiana kundi la damu ni kawaida tuu. Issue ipo kwenye DNABaba na mwanae kutokufanana kundi la damu inasababishwa na nini? Na ni sahihi kwa watu hawa kutokufanana makundi yao?
Coz mtoto anayo damu yake na baba damu yake.Baba na mwanae kutokufanana kundi la damu inasababishwa na nini? Na ni sahihi kwa watu hawa kutokufanana makundi yao?
Kwa maana ya kila mtu na kundi lake pasipo mfanano sivyo?
Jamani tunaomba majibu ya kitaalam please!
Walikupa majibu gani baada ya kugoogle