Baba na mwanae kutokufanana kundi la damu inasababishwa na nini?

kigosi D

Member
Sep 26, 2017
35
19
Baba na mwanae kutokufanana kundi la damu inasababishwa na nini? Na ni sahihi kwa watu hawa kutokufanana makundi yao?
 
Baba na mwanae kutokufanana kundi la damu inasababishwa na nini? Na ni sahihi kwa watu hawa kutokufanana makundi yao?
Coz mtoto anayo damu yake na baba damu yake.
Kuweka mbegu kwa mwanamke ashike mimba haiend na damu zako
 
Yap, na inaweza tokea yakafanana au yasifanane. Kama ilivo kwa muonekano wa mwili.

Baba anaweza kuwa mrefu kiasi ila akapata katoto kafup kidogo.
Kwa maana ya kila mtu na kundi lake pasipo mfanano sivyo?
 

Attachments

  • Screenshot_20181208-171329_1544278456067.jpg
    Screenshot_20181208-171329_1544278456067.jpg
    32.2 KB · Views: 154

Similar Discussions

Back
Top Bottom