Baba na mwana

Status
Not open for further replies.
Ukikutana na wabongo waliolelewa maisha ya kiswahili lazima hii iwe ajabu

Ukikutana na wenye malezi yao,wale wakuvaa bikini mbele ya mtoto atakushangaa

sana akikuona unashangaa hizo picha,tufupishe story hebu 'hapo shida ipo kwetu waswahili'

waacheni wazungu waishi watakavyo,wewe ukijiona hii ngumu kumeza Pita kimya kimya..

i call it Pure Love
Sio maisha ya kiswahili mbona unatukana waafrika mkuu? hayo ni malezi ya kiafrika? especially Tz?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom